Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,353
- 32,991
Ina maana huo moto umeletwa na serikali ya awamu ya 5Bangi hizi....usivute ukiwa na njaa
Ina maana huo moto umeletwa na serikali ya awamu ya 5Bangi hizi....usivute ukiwa na njaa
Ina maana huo moto umeletwa na serikali ya awamu ya 5
Kwan ni mara ya kwanza moto kutokea Kilimanjaro?Laana ya bichwa hiyo ndio imesababisha
Ushauri mzuriMsitu wa Mlima Kilimanjaro unawaka Moto tangia Jana na hadi leo ni kuwa TANAPA bado hawajaweza kuudhibiti
TANAPA wanasema wamechukua wanavijiji na wanafunzi wa Chuo cha Utalii cha Mweka kwenda kusaidia kuzima moto huo
Tumeshuhudia moto ukiwaka kwenye misitu mingine Duniani tena kwenye mataifa yenye teknolojia kubwa za kupambana na majanga hayo lakini ikawa ni ishu kuuzima.
Nashauri Serikali ingetuma haraka Kikosi cha JWTZ kikiwa na vifaa vya kutosha ili kuuzima moto huu mara moja usiwe ukawa mkubwa hadi ukawa uncontrollable.
Hizi ndio emergency za kutumia Jeshi letu na sio kulitumia kukusanya korosho au kufunga maduka ya forex huku kwenye majanga real tunatumia wanavijiji.