Sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu Dar, pale unavuka na feri au daraja la Kigamboni inaitwaje kwa Kiswahili?

Ndugu wakimaliza kukujibu Swali lako tafadhali niulizie na Mimi kuwa je, wale Mamba ambao huwepo katika Mito mbalimbali ile Mito ikikauka hupotea ghafla huwa wanapotelea wspi?
Kwani mkuu kitendo cha maji ya mto kukauka kwani ni kitendo cha usiku na mchana tu....vile yakianza kupungua jamaa wanahisi hiyo hali na kutokomea mbali kuliko na maji.
 
Kama baharia mstaafu nishapita mifereji yote mikubwa tena nikiwa msaidizi wa duty ya bridge 😉,suez canal,panama canal na dardanelles canal na bosporus canal instabul,naweza kusema mifereji ya baharini ya kama huo unaopita nyerere bridge inaitwa canal,tena pale nyerere bridge mchina katupiga vibaya sana kwa ujinga wa maenginer wa kibongo
 
Kama baharia mstaafu nishapita mifereji yote mikubwa tena nikiwa msaidizi wa duty ya bridge 😉,suez canal,panama canal na dardanelles canal na bosporus canal instabul,naweza kusema mifereji ya baharini ya kama huo unaopita nyerere bridge inaitwa canal,tena pale nyerere bridge mchina katupiga vibaya sana kwa ujinga wa maenginer wa kibongo
mkuu baharia unatuingiza town.
 
Kama baharia mstaafu nishapita mifereji yote mikubwa tena nikiwa msaidizi wa duty ya bridge ,suez canal,panama canal na dardanelles canal na bosporus canal instabul,naweza kusema mifereji ya baharini ya kama huo unaopita nyerere bridge inaitwa canal,tena pale nyerere bridge mchina katupiga vibaya sana kwa ujinga wa maenginer wa kibongo
Katupiga Nini mkuu
 
Ghuba ni sehemu kubwa ya maji ya bahari ikiyoingia nchi kavu. Nafikiri hapa huwa tunamix na MKONDO kama ule wa Lindi

Rasi/Peninsula ni sehemu ya Ardhi iliyozungukwa na maji pande 3 (Kwasababu imeingia majini)

Mkuu ungekua na wajomba wa darasa la 6 hapo mambo yangekua barabara, mana sisi wakati wenzetu wanasoma si tulikua tunaiba miwa shamba la jirani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri hatuelewani. Ni hivi swali lilikuwa Ile sehemu ya maji pale bandarini inaitwaje? Jibu ni Ghuba.
Kuhusu Kigamboni,Vijibweni ni RAS,pensula au kisiwa wewe ndio unasema.
Ghuba ni Ile sehemu ya maji ilioingia pale bandarini hadi kurasini,huu ndio uelewa wangu.
na kuendelea mpaka Kijichi kule ni mkondo wa maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peninsula ni kingereza .. Kiswahili chake Rasi..

Kwahiyo huwezi sema ghuba kama kwa English sio gulf..
Ghuba ni Gulf..je umewahi sikia watu wakisema kurasini Gulf?..sidhani..

Hapa watu wanachanganya lugha kwanza halafu na majina husika....

Gulf ni ghuba
Peninsula ni rasi..
Bay sijui Kiswahili chake..

Msasani Peninsula
Kigambon peninsula

Zote hizo rasi...

Sijaona gulf hapo so far
BAY - Sehemu ya pana ya maji iliyoingia nchi kavu na kutengeneza ufukwe...
Nahisi ndio maana Beach za Kule msasani Peninsula kukaitwa Oyster Bay
Kwahivyo bay ni Beach za design hio.

Mwalimu wa Jografia ataturekebisha penye makosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ghuba ni sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu

Rasi ni sehemu nyembamba ya ardhi iliyoingia baharini

Penisula
Ni sehemu kubwa ya ardhi iliyoingia baharini
Sasa utajuaje kama ardhi ndio imeingia baharini au bahari ndo imeingia nchi kavu, na wakati vinaingiliana hukuwepo.
Hapa sio yale yale ya kuku na yai nani alitangulia?
 
Unajua Daily News huwa Wana mention sana hivi vitu .
Binafsi Msasani Peninsula nimeitoa kwenye gazeti la Daily News..

Nna uhakika vyote vipo sema usomaji wa magazeti siku hizi sio sana..
Acha uongo bosi

USSR
 
Back
Top Bottom