SEHEMU YA 2: Namna Wazungu walivyotokea duniani

Mchizi Camoranesi Kwao ni Argentina hana utaliano kama unavyomdhania... Ni Kweli Italian wana ngozi Nyeusi fulani sio kam British au Wafinland or Russian Sababu wao Damu zao ile kutawala sana Dunia walizalisha sana mataifa waliyoyatawala Haswa Arabs na Yahudi but wapo walio pure kabisa white kabisa
Ofcourse Camoranesi ni muargentina ila waitaliano asilia hawapo kama British ila wapo kama jamii zingine za wameditarenia kama greeks,syrians,lebanons,etc
Hao waitaliano waliopo kama british ni wavamizi kutoka kaskazini nchi za german na skandnavia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcourse Camoranesi ni muargentina ila waitaliano asilia hawapo kama British ila wapo kama jamii zingine za wameditarenia kama greeks,syrians,lebanons,etc
Hao waitaliano waliopo kama british ni wavamizi kutoka kaskazini nchi za german na skandnavia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimesaka comments za nje Kuna Wataliano huwa wanajibu maswali haya na husema Italian wa South ndio wengi husema wanafanana na Arabs but Arabs wenyewe wapo Saudia hawafanani katu na Arabs wa North Africa so inamaana kizazi cha Waarabu wa North Africa ni aina tu ya mchanganyiko fulani wa asili kadhaa... Ukienda maeneo mengine ya Italia hakuna watu wanaofanana na waitalia wa Kusini eneo lilipo karibu na Africa
 
Qur'an 49:
49_13.gif

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke.
Halafu mkiambiwa kuhusu Utatu Mtakatifu mnaukataa tena kwa maandiko ya kisiasa yasiyo na uthibitisho wa kisayansi wala imani bali kulazimisha tu kwamba "hilo hakuna na msiamini katika hilo"

Kitabu chenu kinahitaji kufanyiwa referendum kwa manufaa ya Kizazi chenu.

Mtafumbuka macho mtakapo tambua uwepo wa Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho (Utatu Mtakatifu wa Bwana).
 
Halafu mkiambiwa kuhusu Utatu Mtakatifu mnaukataa tena kwa maandiko ya kisiasa yasiyo na uthibitisho wa kisayansi wala imani bali kulazimisha tu kwamba "hilo hakuna na msiamini katika hilo"

Kitabu chenu kinahitaji kufanyiwa referendum kwa manufaa ya Kizazi chenu.

Mtafumbuka macho mtakapo tambua uwepo wa Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho (Utatu Mtakatifu wa Bwana).
Kitabu chenu ndiyo nini? Usiogope hicho kitabu kinaitwa Qur'an na jina lake lipo ndani ya hicho kitabu, siyo la kujitungia tu. Na hakuna shaka ndani yake.

Ingawa umeikata hiyo aya na kuweka mwanzo wake tu (sifahamu kwanini umeikata hukuweka aya kamili) Lakini bado huna uwezo wa kuipinga.

Unataka scientific proof ipi tena na aya ipo wazi kabisa? Inabidi wewe ndiyo ukatae hiyo aya kisayansi kwa sababu ipo very clear.

"Enyi watu": Huu ujumbe ni wako pia, au wewe siyo mtu?
"Tumekuumbeni": Hapo ni wote hajabaguliwa mtu,
"kutokana na mwanamume na mwanamke": Sasa wewe leta scientific proof yako kuwa hujaumbwa kutokana na mwanamume na mwanamke.

Tunasubiri ui prove wrong hiyo aya kisayansi au kivingine vyovyote vile, tena tafuta na wenzako mshirikiane. Nnakupa muda wa uhai wako wote utafute science inayopingana na hiyo aya.
 
"Enyi watu": Huu ujumbe ni wako pia, au wewe siyo mtu?
"Tumekuumbeni": Hapo ni wote hajabaguliwa mtu,
"kutokana na mwanamume na mwanamke":
Hapo mwanzoni mwandishi au mtunzi wa hayo maneno anathibitisha siasa kwa maana anaonyesha dhahiri kwamba anauhutubia kusanyiko la watu, aidha jukwaani au anapita mitaani akitamka hayo maneno kwa sauti kubwa na anatumia mbinu zile zile za kisiasa kuvuta wafuasi wake.
Pili hapo unasema "tumekuumbeni"; sasa ametuumba sisi wanadamu kwa kushirikiana yeye na nani? Maana apo anaukana umoja wake na kuweka wingi wao, hapa hata yeye aliona aibu kuukata utatu mtakatifu wa bwana kwa ukuu na utakufu wake.
Acheni kumsujudia huyo setani anawapoteza.

Tatu na mwiso ni kwamba mwanadau aliumbwa awali tu na akapewa uwezo wa kuzaliana ili akaijaze Dunuia kupitia jinsia mbili yaani mwanaume na mwanamke, hivyo toka hapo mwanadamu huzaliwa na sio kuumbwa tena.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuumbwa na kuzaliwa na kama ndivyo maandiko yenu yananena iyo tafsiri yake ni kwamba mungu mnayemuabudu ameoa na anaisi na mwanamke kinyumba.
 
Qur'an 49:
49_13.gif

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 13

O mankind! We created you from a single (pair) of a male and a female, and made you into nations and tribes, that ye may know each other (not that ye may despise (each other). Verily the most honoured of you in the sight of Allah is (he who is) the most righteous of you. And Allah has full knowledge and is well acquainted (with all things). (Surah HAl-Hujurat, 13)
"Sisi Tumekuumbeni"hao sisi ni kina nani?
 
Mkuu hii makala labda kwa kuwa sijaipata kuanzia sehemu ya kwanza lakini kwenye suala hali ya hewa kuwa kisababishi cha rangi nadhani kama sijakuelewa. Watu wa mbeya ambako kuna baridi kali katika kipindi kingi cha mwaka wengi wao ni weusi (athari ya baridi) na watu wa pwani ambako nin joto kwa kipindi kirefu cha mwaka wengi wao ni brown au weupe (athari za joto) hili unaweza kulisemeaje?
Swali la pili liko kwenye muundo wa sura na umbile la jumla la wakazi wa dunia katika maeneo tofauti tofauti mfano waasia: vimo,macho na morphology ya uso ni tofauti na vimo,macho na morphology ya mwarabu,mzungu na mwafrika mwenyewe. Je tofauti hii pia ilitokea ili kukidhi matakwa ya kimazingira?
Kwenye upande wa IQ nami naungana na wewe kuwa uwezo wa samaki nje ya maji ni mdogo ukilinganisha na anapokuwa majini.
Shukrani sana,endeleza mjadala.
 
Mkuu hii makala labda kwa kuwa sijaipata kuanzia sehemu ya kwanza lakini kwenye suala hali ya hewa kuwa kisababishi cha rangi nadhani kama sijakuelewa. Watu wa mbeya ambako kuna baridi kali katika kipindi kingi cha mwaka wengi wao ni weusi (athari ya baridi) na watu wa pwani ambako nin joto kwa kipindi kirefu cha mwaka wengi wao ni brown au weupe (athari za joto) hili unaweza kulisemeaje?
Swali la pili liko kwenye muundo wa sura na umbile la jumla la wakazi wa dunia katika maeneo tofauti tofauti mfano waasia: vimo,macho na morphology ya uso ni tofauti na vimo,macho na morphology ya mwarabu,mzungu na mwafrika mwenyewe. Je tofauti hii pia ilitokea ili kukidhi matakwa ya kimazingira?
Kwenye upande wa IQ nami naungana na wewe kuwa uwezo wa samaki nje ya maji ni mdogo ukilinganisha na anapokuwa majini.
Shukrani sana,endeleza mjadala.

Naomba usome ya kwanza yote link ipo chini hapo na ya pill yote majibu yote yamo humo.
 
Naomba usome ya kwanza yote link ipo chini hapo na ya pill yote majibu yote yamo humo.

kuna majibu ya kwanini tumekuwa weusi au weupi lakini kuhusu muundo wa sura/uso na vimo sijaviona mkuu,jaribu kunirahisihia tafadhali,usituchoke
 
kuna majibu ya kwanini tumekuwa weusi au weupi lakini kuhusu muundo wa sura/uso na vimo sijaviona mkuu,jaribu kunirahisihia tafadhali,usituchoke

Mkuu vimo sawa sijaelezea lakini sura mbona nimezungumza why wazungu wana sura ndefu na pua ndefu na Kwa nini wana nywele zile na Kwa nini sisi tuna tuna pua fupi na pana na sura fupi na kwa nini tuna nywele hizi pitia vema mkuu
 
Back
Top Bottom