Sehemu Gani ya mwili wako hucheza kuashiria Kuna tukio linataka kutokea??

sizonjemadawa

JF-Expert Member
Feb 11, 2017
1,053
1,303
Habari wakuu

Poleni nå majukumu,

Mwili wa mwanadamu una viungo vingi sana, na kila kiungo kina kazi yake, viungo vingine vina kazi zaid ya moja, na vingine tunafaham kuwa vina kazi zaidi ya moja,


Miaka michache iliyopita niligundua macho yangu yanatabia ya kunipa taarifa kwa mambo yanayotaka kutokea Siku chache zijazo, Lakini haikuwa rahisi kugundua, ilifokea karibia weak Nzima jicho la kushoto linacheza, nikawa najiuliza ni nini hii, sikupata jibu, kuna tukio lilitokea na jicho liliacha kucheza siku hiyohiyo, ikapita miezi kadhaa safari macho yote yalikuwa yanacheza na yaliacha pale tukio lilivyotokea
Hivyo tangu siku hiyo niligundua kazi nyingine ya macho yang,

Kuna viungo vinanipa taarifa za haraka, yaani tahaddhari, viungo hivi ni ngozi (vinyweleo) na moyo, viungo hivi ni rafiki sana kwa mwanadamu Maama hutoa taarifa za tahadhali, unaweza kupita sehemu ukajishangaa ngozi inasisimka, na moyo umekuwa na woga, Nawe ukapita kwa tahadali kubwa Mno, ujue kuna kitu kipo ambacho si kizur ila kwa macho hujakiona, kinaweza kikawa kimejificha Ili kisionekane au hakionekani kabisa

Nb kuhusu macho Kutoa taarifa
Si kila tukio, bali ni kwa matukio makubwa tu,

Je, ww ni kiungo gani kinatoa taarifa
 
Habari wakuu

Poleni nå majukumu,

Mwili wa mwanadamu una viungo vingi sana, na kila kiungo kina kazi yake, viungo vingine vina kazi zaid ya moja, na vingine tunafaham kuwa vina kazi zaidi ya moja,


Miaka michache iliyopita niligundua macho yangu yanatabia ya kunipa taarifa kwa mambo yanayotaka kutokea Siku chache zijazo, Lakini haikuwa rahisi kugundua, ilifokea karibia weak Nzima jicho la kushoto linacheza, nikawa najiuliza ni nini hii, sikupata jibu, kuna tukio lilitokea na jicho liliacha kucheza siku hiyohiyo, ikapita miezi kadhaa safari macho yote yalikuwa yanacheza na yaliacha pale tukio lilivyotokea
Hivyo tangu siku hiyo niligundua kazi nyingine ya macho yang,

Kuna viungo vinanipa taarifa za haraka, yaani tahaddhari, viungo hivi ni ngozi (vinyweleo) na moyo, viungo hivi ni rafiki sana kwa mwanadamu Maama hutoa taarifa za tahadhali, unaweza kupita sehemu ukajishangaa ngozi inasisimka, na moyo umekuwa na woga, Nawe ukapita kwa tahadali kubwa Mno, ujue kuna kitu kipo ambacho si kizur ila kwa macho hujakiona, kinaweza kikawa kimejificha Ili kisionekane au hakionekani kabisa

Nb kuhusu macho Kutoa taarifa
Si kila tukio, bali ni kwa matukio makubwa tu,

Je, ww ni kiungo gani kinatoa taarifa

Mimi nikiwashwa tu na Ugoko najua nataka / nakaribia Kutekwa.
 
Mi mkono ukiwasha wa kushoto huwa lazima nipate pesa, mwanzo nilitaka kuifanya kuwa
imani potofu, mdomo ukakataa lakini nafsi ikanisuta. Jicho limecheza la kushoto miezi 3
mfululizo sijaona chochote. Ila hapo kwenye mkono ndaani ya wiki tu namba zinasoma.
 
Mimi ni tofauti sana kuna mambo na imagine na yanatokea vilevile, ila SIO YOTE. Mfano naweza panga safari ya kuja kwako kukuona nikihisi kuwa tunatakiwa tuonane nispokuja unakuta umefanya jambo ambalo sikutaka ulifanye kabisa au the way ulivyolifanya this happens frequently.
 
Siku hizi sijui ni kwanini hainitokei sana kama zamani.

Binafsi huwa nikikaa hivi bila stress na nkawa normal, kama kuna jambo lolote kubwa au dogo, baya au zuri huwa nalihisi kabisa.

Tena hii ni tofauti kabisa na hisia zingine, huwa hisia zinakuja kwa kunihimiza kabisa kuwa kuna jambo linakuja na huwa ninasikia kabisa ndani ya akili yangu na moyoni kuwa kuna kitu kipo mbele.

Cha ajabu siku hizi hata hainitokeagi hii kitu.
 
Habari wakuu

Poleni nå majukumu,

Mwili wa mwanadamu una viungo vingi sana, na kila kiungo kina kazi yake, viungo vingine vina kazi zaid ya moja, na vingine tunafaham kuwa vina kazi zaidi ya moja,


Miaka michache iliyopita niligundua macho yangu yanatabia ya kunipa taarifa kwa mambo yanayotaka kutokea Siku chache zijazo, Lakini haikuwa rahisi kugundua, ilifokea karibia weak Nzima jicho la kushoto linacheza, nikawa najiuliza ni nini hii, sikupata jibu, kuna tukio lilitokea na jicho liliacha kucheza siku hiyohiyo, ikapita miezi kadhaa safari macho yote yalikuwa yanacheza na yaliacha pale tukio lilivyotokea
Hivyo tangu siku hiyo niligundua kazi nyingine ya macho yang,

Kuna viungo vinanipa taarifa za haraka, yaani tahaddhari, viungo hivi ni ngozi (vinyweleo) na moyo, viungo hivi ni rafiki sana kwa mwanadamu Maama hutoa taarifa za tahadhali, unaweza kupita sehemu ukajishangaa ngozi inasisimka, na moyo umekuwa na woga, Nawe ukapita kwa tahadali kubwa Mno, ujue kuna kitu kipo ambacho si kizur ila kwa macho hujakiona, kinaweza kikawa kimejificha Ili kisionekane au hakionekani kabisa

Nb kuhusu macho Kutoa taarifa
Si kila tukio, bali ni kwa matukio makubwa tu,

Je, ww ni kiungo gani kinatoa taarifa
poumbou
 
Siku hizi sijui ni kwanini hainitokei sana kama zamani.

Binafsi huwa nikikaa hivi bila stress na nkawa normal, kama kuna jambo lolote kubwa au dogo, baya au zuri huwa nalihisi kabisa.

Tena hii ni tofauti kabisa na hisia zingine, huwa hisia zinakuja kwa kunihimiza kabisa kuwa kuna jambo linakuja na huwa ninasikia kabisa ndani ya akili yangu na moyoni kuwa kuna kitu kipo mbele.

Cha ajabu siku hizi hata hainitokeagi hii kitu.
Weka picha mkuu
 
Habari wakuu

Poleni nå majukumu,

Mwili wa mwanadamu una viungo vingi sana, na kila kiungo kina kazi yake, viungo vingine vina kazi zaid ya moja, na vingine tunafaham kuwa vina kazi zaidi ya moja,


Miaka michache iliyopita niligundua macho yangu yanatabia ya kunipa taarifa kwa mambo yanayotaka kutokea Siku chache zijazo, Lakini haikuwa rahisi kugundua, ilifokea karibia weak Nzima jicho la kushoto linacheza, nikawa najiuliza ni nini hii, sikupata jibu, kuna tukio lilitokea na jicho liliacha kucheza siku hiyohiyo, ikapita miezi kadhaa safari macho yote yalikuwa yanacheza na yaliacha pale tukio lilivyotokea
Hivyo tangu siku hiyo niligundua kazi nyingine ya macho yang,

Kuna viungo vinanipa taarifa za haraka, yaani tahaddhari, viungo hivi ni ngozi (vinyweleo) na moyo, viungo hivi ni rafiki sana kwa mwanadamu Maama hutoa taarifa za tahadhali, unaweza kupita sehemu ukajishangaa ngozi inasisimka, na moyo umekuwa na woga, Nawe ukapita kwa tahadali kubwa Mno, ujue kuna kitu kipo ambacho si kizur ila kwa macho hujakiona, kinaweza kikawa kimejificha Ili kisionekane au hakionekani kabisa

Nb kuhusu macho Kutoa taarifa
Si kila tukio, bali ni kwa matukio makubwa tu,

Je, ww ni kiungo gani kinatoa taarifa
Me dushe likicheza tuu basi ujue mgegedo unakaribia
 
Back
Top Bottom