Afu mi kila mara hucheza, juzi tu lilikuwa linacheza! Sijui itakuwajeMm hata hamu ya kula huwa inakata,nikiona simu inaita nastuka balaa.
Afu mi kila mara hucheza, juzi tu lilikuwa linacheza! Sijui itakuwajeMm hata hamu ya kula huwa inakata,nikiona simu inaita nastuka balaa.
kibinda ikichezaHivyo Ndivyo ilivyo! Mdomo wa chini{lower lip} ukicheza tegemea ugomvi! Ila jicho la kulia huashiria Mvua,pia kuna sehemu ya ngozi ikicheza pia huashiria mvua kunyesha!
Dah aisee pole sana,mm langu kila likicheza basi najua ni msiba. Yaan huwa sipendi maana huwa nakaa roho juu juu tu.Afu mi kila mara hucheza, juzi tu lilikuwa linacheza! Sijui itakuwaje
Ujue kuna dume limetamani msambwanda wako! Unakaribia kuliwakibinda ikicheza
Sasa hivi nitakuwa namuomba mola aniepushe. Nadhani hivyo viashiria vinakujaga ili tuchukue tahadhari sema tunadharauDah aisee pole sana,mm langu kila likicheza basi najua ni msiba. Yaan huwa sipendi maana huwa nakaa roho juu juu tu.
Ni kweli, tunapewa tahadhali Kuwa Kuna kitu kibaya kitatokea.Sasa hivi nitakuwa namuomba mola aniepushe. Nadhani hivyo viashiria vinakujaga ili tuchukue tahadhari sema tunadharau
Imenitokea mwezi huu nasita sanaJicho la kushoto upande wa chini huwa linanipatia viashiria sahihi vya matukio mojawapo kati ya haya yafuatayo.
Msiba, tuhuma, wageni, tukio lisilokuwa la kawaida, mikwaruzano katika mahusiano.
Kiganja cha mkono wa kushoto kikicheza, ama tuseme kuwasha, ni lazima nipate pesa, iwe kwa kulipwa deni, kuuza kitu, kuokota, zawadi nk, ilimradi lazima nipate pesa.
Hiki kiashiria cha kucheza jicho hunikosesha raha kwa kuwa hubeba viashiria vya mambo mengi ambayo mengine hujikuta nipo mikononi mwa polisi.
Viashiria hivi huwa haviongopi, ni lazima viende na tukio moja wapo. Yaani ni lazima.
eeh...Maanake we ni nadra kupata pesa au!
Niambie mimi yafuatayo:
1. Nitakuwa tajiri mkubwa
2. Hakuna mwanamke wa kunikataa
Habari wakuu
Poleni nå majukumu,
Mwili wa mwanadamu una viungo vingi sana, na kila kiungo kina kazi yake, viungo vingine vina kazi zaid ya moja, na vingine tunafaham kuwa vina kazi zaidi ya moja,
Miaka michache iliyopita niligundua macho yangu yanatabia ya kunipa taarifa kwa mambo yanayotaka kutokea Siku chache zijazo, Lakini haikuwa rahisi kugundua, ilifokea karibia weak Nzima jicho la kushoto linacheza, nikawa najiuliza ni nini hii, sikupata jibu, kuna tukio lilitokea na jicho liliacha kucheza siku hiyohiyo, ikapita miezi kadhaa safari macho yote yalikuwa yanacheza na yaliacha pale tukio lilivyotokea
Hivyo tangu siku hiyo niligundua kazi nyingine ya macho yang,
Kuna viungo vinanipa taarifa za haraka, yaani tahaddhari, viungo hivi ni ngozi (vinyweleo) na moyo, viungo hivi ni rafiki sana kwa mwanadamu Maama hutoa taarifa za tahadhali, unaweza kupita sehemu ukajishangaa ngozi inasisimka, na moyo umekuwa na woga, Nawe ukapita kwa tahadali kubwa Mno, ujue kuna kitu kipo ambacho si kizur ila kwa macho hujakiona, kinaweza kikawa kimejificha Ili kisionekane au hakionekani kabisa
Nb kuhusu macho Kutoa taarifa
Si kila tukio, bali ni kwa matukio makubwa tu,
Je, ww ni kiungo gani kinatoa taarifa
Hayo ni mabawa ya kipepeo sio masikioMasikio yakicheza tyu... Huwa nabadili njia....
Niembie kiutani tu, yawezekana maneno yako huumba. Nambie mazuri tu
Kiongozi ntakudanganya
Maana hata mimi sijui ilitokea vile.
Uwa najisemea tu.
Ndo maana siku hizi nimeamua kutofanya utani wa mambo ya baadae.
Unaweza ukamwambia mtu kiutani kwamba utaumwa wewe.
Na kesho akaja kuumwa kweli atakuona mchawi.
Sasa hii si hatari! Nauchukia sana umaskinieeh...
haya nishakwambia.Niembie kiutani tu, yawezekana maneno yako huumba. Nambie mazuri tu
Kizuri hakipatikani kwa urahis endelea kumfatilia hata kama mwaka mzima ipo siku atakuelewaVipi pale moyo unapokuashiria kuwa flani anakufaa afu badae akakuacha ?
Kwenye macho nakubali
Kuna kitu chajaMi mkono ukiwasha wa kushoto huwa lazima nipate pesa, mwanzo nilitaka kuifanya kuwa
imani potofu, mdomo ukakataa lakini nafsi ikanisuta. Jicho limecheza la kushoto miezi 3
mfululizo sijaona chochote. Ila hapo kwenye mkono ndaani ya wiki tu namba zinasoma.