Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Wakuu habari, mimi ni mdau wa maswala ya ujenzi (civil engineer) nataka nifanye maisha ambayo kwa kiasi kikubwa yatakuwa yanahusiana na sekta ya ujenzi.
Je, kati ya Dodoma na Babati ni mji gani utakuwa poa zaidi?
Na je gharama za maisha kwa ujumla zikoje maeneo hayo.
Pia kati ya miji hiyo miwili Fursa za Maendeleo zikoje.
Nakaribisha maoni yenu huenda uzi huu ukawasaidia wengi.
Asanteni.
Je, kati ya Dodoma na Babati ni mji gani utakuwa poa zaidi?
Na je gharama za maisha kwa ujumla zikoje maeneo hayo.
Pia kati ya miji hiyo miwili Fursa za Maendeleo zikoje.
Nakaribisha maoni yenu huenda uzi huu ukawasaidia wengi.
Asanteni.