Sehemu gani nzuri kupumzika Dar es Salaam na baby?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,020
Za leo wana MMU.

Natafuta sehemu moja tulivu iliyotulia inapiga mzika wa taratibu wa polepole huku swimming pool ya private ipo i mean nataka self contained room na swimming pool sitaki watu wanione sababu ni star mimi nafuatiliwa kinoma so staki picha zangu zisambazwe maana najua wadadaz lazima wanipige picha na wale ninaofahamiana nao unajua ukiwa handsome hata kama huna time na mademu lazima watakufata tuu.

Nataka chumba kiwe na screen ya maana wakati nimpuzika na mpenzi wangu niangalie muvi na mambo mengine ya kufurahisha nafsi yangu nisahau shida zangu zote.

Napenda juicy, matunda na nyama choma hasa mbuzi choma huku bibie akitabasamu na kunionyesha mashaalah mambo yake alojaliwa na muumba, juicy pembeni tudumbukie swimming tochezeane huku tunakata juicy mdogo mdogo baada ya hapo ni chumbani tukajimwage kwa raha zetu, kumbuka hii ni zaid ya paradise life yan ni batta moja hatari sana haijawahi tokea katika ulimwengu huu wa wapendanao.

Plz mliowahi kutumia/mnazijua nipeni bei na kama vipi kama mna picha nitumieni nijue vyema eneo lenyewe naloenda kuvinjari, just for one week or more depend on my baby decision.
 
za leo wana MMU.
natafta sehemu moja tulivu iliyotulia inapiga mzika wa taratibu wa polepole huku swimming pool ya private ipo i mean nataka self contained room na swimming pool sitaki watu wanione sababu ni star mimi nafuatiliwa kinoma so staki picha zangu zisambazwe maana najua wadadaz lazima wanipige picha na wale ninaofahamiana nao unajua ukiwa handsome hata kama huna time na mademu lazima watakufata tuu.
nataka chumba kiwe na screen ya maana wakati nimpuzika na mpenzi wangu niangalie muvi na mambo mengine ya kufurahisha nafsi yangu nisahau shida zangu zote.
napenda juicy, matunda na nyama choma hasa mbuzi choma huku bibie akitabasamu na kunionyesha mashaalah mambo yake alojaliwa na muumba, juicy pembeni tudumbukie swimming tochezeane huku tunakata juicy mdogo mdogo baada ya hapo ni chumbani tukajimwage kwa raha zetu, kumbuka hii ni zaid ya paradise life yan ni batta moja hatari sana haijawah tokea katika ulimwengu huu wa wapendanao.
plz mliowahi kutumia/mnazijua nipeni bei na kama vipi kama mna picha nitumieni nijue vyema eneo lenyewe naloenda kuvinjari, just for one week or more depend on my baby decision.
Ramada Resort Africana near white Sands! But upo tayari kumaliza more than usd 180 per 9t?
 
Nenda tandale au manzese pale ukiona pameandikwaguest house halafu mlangoni kibao kimeandikwa vyumba vipo ingia bei cheee kabisa achana na mambo eti swiming kwani unaenda kufua au kunge. Da?
 
Ningependa kujua umetokea wapi Mkuu

Ili niweze kuainisha sehemu ambayo nataka kukuelekeza

Samhani lakini
 
Nenda tandale au manzese pale ukiona pameandikwaguest house halafu mlangoni kibao kimeandikwa vyumba vipo ingia bei cheee kabisa achana na mambo eti swiming kwani unaenda kufua au ku ge...da?
Hapo kunamfaa sana!
 
Poa boss, kuna ndugu anasema natumia pesa vibaya sasa namakkishia yeye ambae anajibana kwani zimewahi kutosha? naenda kimpango kujimwaga siku chache sio mbaya
Punzisha akiri kaka kama nafasi ipo, sio tusikie kwa wazungu tu. Ni abuuu na maisha yenyewe yakowapi kaka.
 
Back
Top Bottom