Ukweli1
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 550
- 333
Shikamoo babu MziziMkavu.Picha yangu angalia hiyo avatar yangu kama jinsi ilivyo na picha yangu ndio hiyo hiyo Ukweli1
Last edited by a moderator:
Shikamoo babu MziziMkavu.Picha yangu angalia hiyo avatar yangu kama jinsi ilivyo na picha yangu ndio hiyo hiyo Ukweli1
Marahaba mjukuu wangu hujambo lakini Ukweli1Shikamoo babu MziziMkavu.
Sijambo babu MziziMkavu, mjukuu wako natafuta kazi jamani, Babu lazima utakua na vimradi uniajiri nisiumbuke mjini hapa.Marahaba mjukuu wangu hujambo lakini Ukweli1
Mungu naomba unipe imani nguvu siku moja nami niende kuhiji nione utukufu wako.
Syria,iraq,jordan, ni sehemu ambazo manabii waliishi ama kuzaliwa,kwa kuwa wanaikataa Biblia migogoro haitaisha mpaka kesho
Bikira Maria anaipenda nchi ya Tanzania.........anaiombea Tanzania isitengane........
ndio wana kondoo mnavyodanganywa na makasisi wenu wanaowa************ huko makanisani sanamu lisilo weza hata kujilinnda iweje liweze kuwaombea nyny wanakondoo wa tz?yaani bora kuku mwerevu kuliko waru wa dini hii
ndio wana kondoo mnavyodanganywa na makasisi wenu wanaowa************ huko makanisani sanamu lisilo weza hata kujilinnda iweje liweze kuwaombea nyny wanakondoo wa tz?yaani bora kuku mwerevu kuliko waru wa dini hii
Naomba kujuzwa,bikira Maria alifika hapo akitokea wapi,wakati gani,kusudi la kufika hapo ni nini na alienda na nani hapo?
Ndugu chunga sana ULIMI wako!
utukufu wa Mungu. wa kweli upo hapo hapo ulipo! Tazama abisha hodi ufungue moyo wako apate kuingia!