Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,326
217,354
Viongozi watatu; Halima Mdee (Mb), Esther Bulaya (Mb) na Esther Matiko (Mb), wametoka magereza asubuhi ya leo na watazungumza na wanahabari leo katika Ofisi za CHADEMA makao makuu Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.

Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama.

Watazungumza na Watanzania kupitia waandishi wa habari, saa 5 Asubuhi, leo Alhamis. 12/03/2020, baada ya kutoka gereza la Segerea jijini Dar es salaam.
1584000591393.png


Hii ndio taarifa mpya kwa sasa

Mungu ibariki Chadema

 
View attachment 1385319

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa

Mungu ibariki Chadema
Na wakome! Wajifunze kuwa wazalendo na waache kutumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Democrasia na wingi wa watu katika kutenda uhalifu wakidhani mkono wa sheria utawaogopa!

Wakirudia wataadhibiwa kwa adhabu kali ili akili ziwakae kichwani! Badala ya kujenga hoja wananchi tuwaelewe wanaazisha vurugu za maandamano?
 
Sasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
 
Back
Top Bottom