Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Viongozi watatu; Halima Mdee (Mb), Esther Bulaya (Mb) na Esther Matiko (Mb), wametoka magereza asubuhi ya leo na watazungumza na wanahabari leo katika Ofisi za CHADEMA makao makuu Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama.
Watazungumza na Watanzania kupitia waandishi wa habari, saa 5 Asubuhi, leo Alhamis. 12/03/2020, baada ya kutoka gereza la Segerea jijini Dar es salaam.
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa
Mungu ibariki Chadema
Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama.
Watazungumza na Watanzania kupitia waandishi wa habari, saa 5 Asubuhi, leo Alhamis. 12/03/2020, baada ya kutoka gereza la Segerea jijini Dar es salaam.
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa
Mungu ibariki Chadema