Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwisha habari zao
In God we Trust
Halafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
In God we Trust
Halafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
Wametoka kwa nguvu ya umma.
Ladies First!
CDM hua wananifurahisha sana!
Wananchi tumechanga,guess what,maccm yanaharisha!
These niggas will die on themselves aisee!
Hivi halijafaHalafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
Shetani hana rafiki , wala wewe hauko salama kama unavyodhaniSasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
mbona yakina akwilina hamsemi, wakina azori,ben saanane, nk! binafsi naona kabisa, ccm mnashida sana katika uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo!Sasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
Aisee wewe Black America hua unanifurahishaga Sana,hasa unapowachana ma CCM.Ladies First!
CHADEMA hua wananifurahisha sana!
Wananchi tumechanga,guess what,maccm yanaharisha!
These niggas will die on themselves aisee!
kwa habari hii, Bashite sasa hivi ni maumivu ya vidonda vya tumbo maana bado ana uchungu sana wa kutolewa nduki alipowavamia hawa mabebe pale Mlimani City majuzi!
Ni zaidi ya covd-19yaani jana pole pole kabeba mkoba una makaratasi kaenda kupewa risiti CCM ni corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana ilikuwa faraja na waandishi wa habari.. Kigaila na makamu ZanzibarAnaandika John Mrema kupitia twitter:
Tutakuwa na press saa tano kuwapokea wanaotoka Magereza Leo . Waandishi karibuni sana
Ahsante kwa taarifa.Anaandika John Mrema kupitia twitter:
Tutakuwa na press saa tano kuwapokea wanaotoka Magereza Leo . Waandishi karibuni sana
Mkuu niko sehemu tofauti kabisa.Nasikia kuna jeshi lote la polsi HQ CDM? kama uko hapo tupe hali ikoje?
Nasikia mmeshatuma Polisi kuzui huo mkutano!!!Ahsante kwa taarifa.
Msisahau kuomba kibali bwashee.
Tunahitaji mrejesho wa mzigo uliozidi(uwazi na ukweli)Picha zinakuja mkuu ondoa shaka