johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Wewe unaujua undugu wa Mbowe na Ndesamburo?Hata huo undugu ni wa kulazimisha tu , eti mtoto wa dada sijui kaolewa na nani ! huo undugu wa wapi aiseee ?
Wewe unaujua undugu wa Mbowe na Ndesamburo?Hata huo undugu ni wa kulazimisha tu , eti mtoto wa dada sijui kaolewa na nani ! huo undugu wa wapi aiseee ?
Hiyo ilikuwa ni slogan ya the famous Mtikila. Saa ya ukombozi ni sasa! Leo hii tena hao akina Halima wanaidandia!Viongozi watatu; Halima Mdee (Mb), Esther Bulaya (Mb) na Esther Matiko (Mb), wametoka magereza asubuhi ya leo na watazungumza na wanahabari leo katika Ofisi za CHADEMA makao makuu Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama.
Watazungumza na Watanzania kupitia waandishi wa habari, saa 5 Asubuhi, leo Alhamis. 12/03/2020, baada ya kutoka gereza la Segerea jijini Dar es salaam.
View attachment 1385386
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa
Mungu ibariki Chadema
View attachment 1385509
View attachment 1385553
Tatizo la wazembe hawa, wanadhani kifungo ni mtaji. Sijui kama watamfikia Mtikila. Je alifanikiwa?Na wakome! Wajifunze kuwa wazalendo na waache kutumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Democrasia na wingi wa watu katika kutenda uhalifu wakidhani mkono wa sheria utawaogopa!
Wakirudia wataadhibiwa kwa adhabu kali ili akili ziwakae kichwani! Badala ya kujenga hoja wananchi tuwaelewe wanaazisha vurugu za maandamano?
Sijashangaa na majibu ya hoja yangu kwa kuwa hujitambui kufuata maneno na matendo ya wanasiasa wachumia tumbo. Watu kama wewe mnatumika kufanikisha agenda na malengo yao.Huna hoja zaidi ya kutetea siasa za kipuuzi, ruzuku ya chama kutokutumika kuwalipia hao waliohukumiwa kwa uoneve, ndio udhibitisho kuwa inatumika vibaya? Kutokuwa na ofisi yenye hadhi ya cdm hilo ni kweli, lakini mada hii haihusiani na ubora wa ofisi ya cdm. Hii ni dalili kuwa umeishiwa hoja, hivyo unarukia jambo lolote ili kuufanya utetezi wako wa uovu uonekane una hoja za msingi. Sijaanza kujitambua jana wala leo, bali niko vizuri sana kwenye eneo hilo.
Sijashangaa na majibu ya hoja yangu kwa kuwa hujitambui kufuata maneno na matendo ya wanasiasa wachumia tumbo. Watu kama wewe mnatumika kufanikisha agenda na malengo yao.
Karibu viongozi wote waliohukumiwa na kuwekwa gerezani ni wabunge ambao wana mishahara na malupulupu kibao ya kuwwawezesha kulipa faini zao. Kuchangisha ili walipiwe ni mbinu za siasa uchwara huku wakiwaumiza kiuchumi wanachama na wafuasi wao, ambao wamekuwa wakidai Serikali haiwajali, hadi vyuma vimekaza.