Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Kasoro ofisi kubwa? Maana maandalizi sikuhizi yamebatizwa jina UHAINI!Katiba ya nchi na vyama vinatambua miaka mitano tu Hiki Ni kipindi Cha Kila anayetaka post yeyote kujiandaa bila woga Wala hofu yeyote uchaguzi mwakani na hakuna mwenye hati miliki kuwa lazima awe yeye kwenye post zozote za kuchaguliwa.Bona Kalua awe mpole tu