Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Sefue amefanya kikao cha siri na speaker Anna Makinga na inasadikiwa kupanga mikakati ya kuvuruga presha ya wabunge wasiisulubu serikali.
Pichani Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Sefue akiwa na Spika Makinda Ofisi ya Spika Makinda Bungeni Dodoma.
Pichani Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Sefue akiwa na Spika Makinda Ofisi ya Spika Makinda Bungeni Dodoma.