Seeking a woman to chat with.

mpwakimeo

Member
Feb 29, 2012
84
53
Nimezaliwa miaka 40 iliyopita. I am looking for a woman to chat with and share life and world views, and to some extent enjoy this life. Bado niko single, hata kama she is married still we can chat. Life is full of suprises. You are welcome.
 
Wamekufuma mkuu kuhusiana na umri wako,Mkuu hivi kwa jinsi unavyoona wewe na umri wako huo unadhani ni nini kimepelekea ukawa single kwa muda mrefu?
 
Wamekufuma mkuu kuhusiana na umri wako,Mkuu hivi kwa jinsi unavyoona wewe na umri wako huo unadhani ni nini kimepelekea ukawa single kwa muda mrefu?
Siyo kama wamenifuma mkuu. Mimi ni mwanachama wa sikunyingi Jf. Haya yote nilijua yatatokea tu. Ningeweza ku-regist ID mpya na kutuma hii post. Lakini dhamira yangu ilisema hapana. Nikawa tayari kwa yanayojitokeza. Kuhusu umri, nikiri hata ile 39 si kweli. Nilikadiria aina ya marafiki nonaopenda, nikaweka umri huo. Atakayekuja inbox atajua umri wangu, ataamuwa.
 
Inawezekana ukawa na miaka 60 eti? Sasa wewe unaonekana ni mzee utuambie akaunt bank inasomaje?
Chukulia Klyn na Mengi...
Siyo kama wamenifuma mkuu. Mimi ni mwanachama wa sikunyingi Jf. Haya yote nilijua yatatokea tu. Ningeweza ku-regist ID mpya na kutuma hii post. Lakini dhamira yangu ilisema hapana. Nikawa tayari kwa yanayojitokeza. Kuhusu umri, nikiri hata ile 39 si kweli. Nilikadiria aina ya marafiki nonaopenda, nikaweka umri huo. Atakayekuja inbox atajua umri wangu, ataamuwa.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom