mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Hivi 250meters per hour, Hauwezi kuwa serious boss. sasa si litakuwa linashindana na kobe😆Wote wawili mmechemka. Mleta mada hakueleza top speed ya hilo gari kuwa eti ni 250kph au 250mph. Alichoeleza ndicho hasa alichomaanisha yaani 250 meters per hour. Mlichomiss ni kale kasentensi "higher than any fastest car". Kwa maana kuwa nenda utafute gari ulilolofahamu kabla kuwa lina toppest speed basi linazidiwa ma hii bugatti kwa 250 meters per hour. Mupo