Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,696
- 225,391
Hata Mimi nimeshangaaPicha namba 3 yaani watoto wametoka wazungu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi nimeshangaaPicha namba 3 yaani watoto wametoka wazungu kabisa
Hakuna wanawake wanapenda pesa kama wanawake weupe, na yeyote unaemuona ameoa ngozi nyeupe na hana hela ujue ameoa reject. Kama ni mzungu ni mnene hana soko mgonjwa, kama mchina mfupi sana na kibonge, kama mwarabu taahira wanakupa na kama Muhindi basi ukoo wa ovyo
Mbona baba yake obama alioa kwenye familia Tajiri huku yeye akiwa mwanafunzi tu,Mapenzi upofu mkuu.Ndio tunalosema wao kuoa haijalishi katoka wapi, ila sisi kama huna hela utaoa reject. Kuchukua kula unakula tu ila ndoa kuzaa
Bba yake Obama halisi anajulikana ni Frank Marshall Davis, huyu Mkenya walimbebesha kuepusha aibu kwasababu Davis alikuwa anakula mama na mtotoMbona baba yake obama alioa kwenye familia Tajiri huku yeye akiwa mwanafunzi tu,Mapenzi upofu mkuu.
Watu wanaoana haijalishi tajiru au masikini,sema tu mazingira ya kuwakutanisha pamoja watoto wa matajiri wakike na wanaume kajambanani ndo shughuli.Hata hapa hapa Afrika ni vigumu kutoka familia masikini kuoa mtoto wa tajiri sababu ya mazingira ya watu kukutana ni tofauti kabisa.
HeheeTunazungumzia "Ubaguzi wa rangi" sio pesa,... Umeshawahi kuishi nchi gani ya watu Weupe halafu ukaona kama wanajali utajiri wako??? Usi Generalise issue zetu za kupenda hela ukaona na Dunia nzima iko hivyo....
Hahaa na Mimi pia ni shombe shombeSikujuaga Kama we ni shombe ujue..
Ndio hivyo sasaSikujuaga Kama we ni shombe ujue..
😂😂😂😂Ndio hivyo sasa
Aisee, we mwanamke bado hujalala?
Sawa ankali shombe shombe
Nililala nimeamka.Aisee, we mwanamke bado hujalala?
Anhaa! Sasa na watoto unatafuta muda upi jamani?Nililala nimeamka.
Watoto..!! 😂😂😂Anhaa! Sasa na watoto unatafuta muda upi jamani?
Usiku mwema!Watoto..!!
Ratiba yao si leo.
Na kwako pia.Usiku mwema!