Tetesi: Security manager wa north Mara afungua kampuni ya ulinzi mgodini kinyume na Sheria za nchi

mzee wa giningi

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
519
336
Security manager wa mgodi wa North Mara gold mine ambao upo chini ya ACACIA amefungua kampuni yake ya walinzi kutoka nje ya nchi wazungu Hawa ni walinzi mgodini hapa hawana kibali cha kufanya kazi hapa Tanzania kampuni hiyo inaitwa ASSEYE security, wanawapelekesha wafanyakazi wa kitanzania na kuwafukuzisha kazi Bila utaratibu ili huyu security manager ambaye anaitwa Heaney alete wazungu wenzake wafanye kazi kinyume na Sheria.

Naiomba serikali yetu sikivu kuwafukuza Hawa wazungu wanaofanya kazi bila kibali na hii kampuni ya Asseye security haijasajiliwa kisheria lakini inafanya kazi.

OCD Nyamwaga, Tarime anashirikiana na security manager huyu kuleta wazungu kinyume cha sheria zetu na security manager huyu ananyanyasa watanzania wanaofanya kazi kwenye mgodini huo kwa kuwafukuza kazi bila sababu yeyote.
 
Tupia ka picha ka mlinzi mmoja mzungu wa Acacia akiwa mzigoni na gobole lake ili
kuongeza utamu wa habari yako.
vinginevyo tutaiweka kwenye kundi la chai maharage ya mchana.
Security manager wa mgodi wa north Mara gold mine ambao upo chini ya acacia amefungua kampuni yake ya walinzi kutoka nje ya nchi wazungu Hawa ni walinzi mgodini hapa hawana kibali cha kufanya kazi hapa Tanzania kampuni hiyo inaitwa ASSEYE security, wanawapelekesha wafanyakazi wa kitanzania na kuwafukuzisha kazi Bila utaratibu ili huyu security manager ambaye anaitwa heaney alete wazungu wenzake wafanye kazi kinyume na Sheria.

Naiomba serikali yetu sikivu kuwafukuza Hawa wazungu wanaofanya kazi bila kibali na hii kampuni Ya Asseye security haijasajiliwa kisheria lakini inafanya kazi.

OCD nyamwaga, tarime anashirikiana na security manager huyu kuleta wazungu kinyume cha sheria zetu na security manager huyu ananyanyasa watanzania wanaofanya kazi kwenye mgodini huo kwa kuwafukuza kazi bila sababu yeyote.
 
Tupia ka picha ka mlinzi mmoja mzungu wa Acacia akiwa mzigoni na gobole lake ili
kuongeza utamu wa habari yako.
vinginevyo tutaiweka kwenye kundi la chai maharage ya mchana.
Mkuu hii issue ipo serious Hawa wazungu wanyanyasa sana wazawa
 
Hilo kampuni makao makuu ni London lkn wamefungua kaofisi bongo wakaongeza neno tanzania kwa mbele ili waonekane wako kitanzania zaidi.
Zamani migodi ililindwa na makaburu sasa waingereza ngoja wajuvi zaid waje waeleze maana wazungu ni wajanja sana hawafanyi kitu Bila backup...
 
Hilo kampuni makao makuu ni London lkn wamefungua kaofisi bongo wakaongeza neno tanzania kwa mbele ili waonekane wako kitanzania zaidi.
Zamani migodi ililindwa na makaburu sasa waingereza ngoja wajuvi zaid waje waeleze maana wazungu ni wajanja sana hawafanyi kitu Bila backup...
Positive idea mkuu ubarikiwe sana kwa kuliona hili swala la kitapeli
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom