Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

P,unajulikana kama kada mtiigu wa ccm,na mgombea uliyetia nia na kutupiliwa mbali kwa tabia zako za kujipendekeza,Nijibu swali hili ili baadae nichangie hoja yako?
3.HIVI NI KWELI TUKO HURU?
Narud badae
Jtatu njema,nitarudi
Mkuu Daudjuma , yes tuko huru, Tanzania tulipata uhuru wetu tarehe 9 Dec, 1961, mpaka leo tuko huru

Kama ni mambo ya uhuru wa mambo mengine yote pia tuko huru na mifano ni hii


P
 
Jambo la msingi ni kwa serikali yetu kuwa macho wasilale ktk kipindi hiki cha uchaguzi na baada
wahakikishe wanaulinda uchaguzi ili ufanyike kwa amani na bila kuuingiliwa na mataifa mengine.
wewe macho ktk idara zote
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.
Angalizo
Kabla hujalisoma bandiko hili lenye hoja 10 na maswali 33 ya kiusalama, naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu uwezo wa kusoma hoja za kiusalama, sio kila mtu mwenye uwezo wa kusoma, kua analyse na kuelewa complex issues, kama ilivyo kwa sisi waandishi, sio kila mwandishi ana uwezo wa kufanya IJ, wengine ni maripota tuuna huo ndio uwezo wao, au sio kila mtangazaji ni news reader, anchorman or talk show host, hivyo sisi wana jf ni hivyo hivyo, tunauwezo tofauti tofauti, kwa vile hili bandiko, ni bandiko la a very serious thing kuhusu usalama wa taifa letu, nakuomba kama unajijua uwezo wako kua analyse na kuelewa complex issues ni limited, nakuomba ishia hapa, maana huko mbele utaishia kuona manyota tuu!.
Mpango wenyewe uko hivi:

  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania

  11. Duh...!., Mkuu mpenzi Faiza (NB. Mtu kuwa mpenzi ni ukimpenda tuu, yatosha kumuita mpenzi na sii lazima na yeye akupende au muwe wapenzi), kwanza asante kutuletea hii taarifa, pili kwa ruhusa yako nitaomba kutumia hoja za bandiko lako hili kupandisha bandiko la kutoa angalizo kwa serikali yetu kuhusu haya. Na tatu hiyo conclusion ya Tanzanite TV kuhusu mabeberu hawa Wamarekani wanataka nini Tanzania, hata akina sisi hayo tuliishayasema sana humu


    Ila baada ya wewe kusikiliza hiyo taarifa ya Tanzanite TV, umefanya jambo la maana sana kuitafuta source yao na kutuwekea maana hivi vyuma vya Magufuli vilivyokaza kwa baadhi yetu, hata bundle ni issue, hivyo angalau umetusaidia wengi kujua, maana siku hizi hapa Bongo baada ya kushamiri kwa magazeti ya makorokocho, sasa kumeibuka TV nyingi za mitandaoni ambazo ni TV za makorokocho, mimi niliihesabu hata Tanzanite TV pia ni TV ya makorokocho kutokana na yule kichaa mmiliki wake, ila kitendo cha kuleta mada serious kama hii na kuichambua kwa makini vile kwa kuonyesha mchele na pumba, sasa naichukulia hiyo TV ni serious I can watch.

    Kwangu the most interesting thing kuhusu hii article the primary source wa article hii, mtu aliyehojiwa akaeleza hayo yote. Japo wenyewe hawajamtaja kwa jina, zaidi ya kumuelezea tuu kuwa ni
    " Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar" kwa sisi wenye jicho la tatu, kupitia kitu kinachoitwa "graphology" ni sayansi ya maandishi, ukisoma andiko fulani ambalo mwandishi ni anonymous, kupitia andishi hilo, unaweza kumjua mwandishi ni nani, hivyo kupitia makala hii, huyo Dar es Salaam based scholar aliyehojiwa hivyo hoja kama Mfumo Kristu, na kuidogosha Bakwata, then wanye ufahamu wa hoja tayari tumeisha wajua watu wa aina hii baada ya kumchezea sana Jakaya, wakataka kuendelea kumchezea Yohana, walipomgundua kuwa Yohana ni noma, anaweza kuwa fykelea mbali, sasa ndio hawa wenye hoja hizi za urongo wa kidini kwa kufanya mahojiano na vyombo vya mabeberu na kutoa habari za kuitisha, kuifedhehesha na kuibagaza serikali yetu kwa media za kibeberu.
    1. Je, ni kweli "Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique?".
    2. Je, ni kweli kuwa Tanzania tuna vikundi vya kigaidi, Jihadist groups, vinazotumika Mozambique, Kenya, and Somalia, bila kufanya ugaidi nchini, lakini baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 presidential elections, Islamist groups in the country are likely to become more active na kufanya kweli!. Why?!.
    3. Je, ni kweli Tanzania tuna Watanzania ma ma radicas ambao ambao wameondoka nchini na kujiungana vikundi vya kigaidi, "A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state"
    4. Je, ni kweli Tanzania tuna mitandao wa kigaidi, " networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania"?.
    5. Je, ni kweli magaidi wa Kenya "Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast"?.
    6. Je, ni kweli TISS wetu walifanikiwa kuwakamata baadhi na kuwarejesha ila wengine wakawatoroka "Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose"?.
    7. Je, ni kweli "The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present"?, ziko wapi?.
    8. Je, ni kweli chanzo cha radicalism ni kuupinga "udikiteta? "resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing?. Ni kweli Tanzania tuna udikiteta?.
    9. Je, ni kweli Tanzania tuna Mfumo Kristu? na kuwa rais Magufuli anatumia Mfumo Kristu, hivyo nchi itaingia kwenye machafuko! "As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance)?.
    10. Je, ni kweli ugaidi Tanzania unaanzia Zanzibar? "The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar".
    11. Je, ni kweli "Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging"?.
    12. Je, ni kweli jeshi letu la polisi linavipuuza matukio ya kigaidi na kuyahesabu ni uhalifu tuu wa kawaida?. "Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups"?.
    13. Je, Tanzania tuna "galvanized Muslims communities", "Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups".
    14. Japo ni kweli Tanzania tuna "restrictions on political" jee ni kweli kuna anye restrictions on "religious organizations"?.
    15. Je, Tanzania kweli tuna "alleged extrajudicial killings and detentions"?, kuna watu wowote wameshikwa wakauliwa bila kufikishwa mahakamani?., au kuna mahabusu wowote wako kizuizini bila kufikishwa mahakamani?.
    16. Je, ni kweli Tanzania, tuna "unequal economic policies, particularly relating to land management"?.
    17. [*]Je, ni kweli Bakwata imepoteza legitimacy "have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA)"?.
    18. [*]Je, Tanzania tuna makundi mawili kinzani ya Waislamu?, yaani kuna Wahhabbi ns wa Sufi? "These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association".
    19. Je, ni kweli "BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities"?.
    20. Je, ni kweli Tanzania tuna Muslim extremist mikoa ya Tanga, Pwani na Mtwara?, "The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors".
    21. Je, ni kweli "The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system?.
    22. Je, ni kweli hili kuhusu Tanga? "Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia".
    23. Je, huu ni ukweli kuhusu lile tukio la mapango ya Handeni?. "Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area"
    24. Je, ni kweli Tanga kuna prominence of political opposition?, "It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott".
    25. Je, ni kweli mauaji ya Kibiti ni ya kigaidi? "In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017".
    26. Je, ni kweli Kibiti ndio chungu cha kuwapika Al Shabaab na kuwa export? " Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna".
    27. Je, ni kweli kuna wakazi 380 wa Kibiti wamepotea na ni vyombo vyetu vya usalama ndio vimewapoteza?, "Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses". NB. Mwandishi wa Habari wa Citizen Mwananchi, Azory Gwanda alipotea katika kuufuatilia ukweli wa tuhuma hii na hakuna mwandishi au chombo kingine cha habari kimefuatilia!.
    28. Je, ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
    29. Je, ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".
    30. Je, ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
    31. Je, ni kweli Mtwara ni neglected? "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
    32. Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win.
    33. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali


Well said
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.
Angalizo
Kabla hujalisoma bandiko hili lenye hoja 10 na maswali 33 ya kiusalama, naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu uwezo wa kusoma hoja za kiusalama, sio kila mtu mwenye uwezo wa kusoma, kua analyse na kuelewa complex issues, kama ilivyo kwa sisi waandishi, sio kila mwandishi ana uwezo wa kufanya IJ, wengine ni maripota tuuna huo ndio uwezo wao, au sio kila mtangazaji ni news reader, anchorman or talk show host, hivyo sisi wana jf ni hivyo hivyo, tunauwezo tofauti tofauti, kwa vile hili bandiko, ni bandiko la a very serious thing kuhusu usalama wa taifa letu, nakuomba kama unajijua uwezo wako kua analyse na kuelewa complex issues ni limited, nakuomba ishia hapa, maana huko mbele utaishia kuona manyota tuu!.
Mpango wenyewe uko hivi:

  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania

  11. Duh...!., Mkuu mpenzi Faiza (NB. Mtu kuwa mpenzi ni ukimpenda tuu, yatosha kumuita mpenzi na sii lazima na yeye akupende au muwe wapenzi), kwanza asante kutuletea hii taarifa, pili kwa ruhusa yako nitaomba kutumia hoja za bandiko lako hili kupandisha bandiko la kutoa angalizo kwa serikali yetu kuhusu haya. Na tatu hiyo conclusion ya Tanzanite TV kuhusu mabeberu hawa Wamarekani wanataka nini Tanzania, hata akina sisi hayo tuliishayasema sana humu


    Ila baada ya wewe kusikiliza hiyo taarifa ya Tanzanite TV, umefanya jambo la maana sana kuitafuta source yao na kutuwekea maana hivi vyuma vya Magufuli vilivyokaza kwa baadhi yetu, hata bundle ni issue, hivyo angalau umetusaidia wengi kujua, maana siku hizi hapa Bongo baada ya kushamiri kwa magazeti ya makorokocho, sasa kumeibuka TV nyingi za mitandaoni ambazo ni TV za makorokocho, mimi niliihesabu hata Tanzanite TV pia ni TV ya makorokocho kutokana na yule kichaa mmiliki wake, ila kitendo cha kuleta mada serious kama hii na kuichambua kwa makini vile kwa kuonyesha mchele na pumba, sasa naichukulia hiyo TV ni serious I can watch.

    Kwangu the most interesting thing kuhusu hii article the primary source wa article hii, mtu aliyehojiwa akaeleza hayo yote. Japo wenyewe hawajamtaja kwa jina, zaidi ya kumuelezea tuu kuwa ni
    " Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar" kwa sisi wenye jicho la tatu, kupitia kitu kinachoitwa "graphology" ni sayansi ya maandishi, ukisoma andiko fulani ambalo mwandishi ni anonymous, kupitia andishi hilo, unaweza kumjua mwandishi ni nani, hivyo kupitia makala hii, huyo Dar es Salaam based scholar aliyehojiwa hivyo hoja kama Mfumo Kristu, na kuidogosha Bakwata, then wanye ufahamu wa hoja tayari tumeisha wajua watu wa aina hii baada ya kumchezea sana Jakaya, wakataka kuendelea kumchezea Yohana, walipomgundua kuwa Yohana ni noma, anaweza kuwa fykelea mbali, sasa ndio hawa wenye hoja hizi za urongo wa kidini kwa kufanya mahojiano na vyombo vya mabeberu na kutoa habari za kuitisha, kuifedhehesha na kuibagaza serikali yetu kwa media za kibeberu.
    1. Je, ni kweli "Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique?".
    2. Je, ni kweli kuwa Tanzania tuna vikundi vya kigaidi, Jihadist groups, vinazotumika Mozambique, Kenya, and Somalia, bila kufanya ugaidi nchini, lakini baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 presidential elections, Islamist groups in the country are likely to become more active na kufanya kweli!. Why?!.
    3. Je, ni kweli Tanzania tuna Watanzania ma ma radicas ambao ambao wameondoka nchini na kujiungana vikundi vya kigaidi, "A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state"
    4. Je, ni kweli Tanzania tuna mitandao wa kigaidi, " networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania"?.
    5. Je, ni kweli magaidi wa Kenya "Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast"?.
    6. Je, ni kweli TISS wetu walifanikiwa kuwakamata baadhi na kuwarejesha ila wengine wakawatoroka "Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose"?.
    7. Je, ni kweli "The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present"?, ziko wapi?.
    8. Je, ni kweli chanzo cha radicalism ni kuupinga "udikiteta? "resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing?. Ni kweli Tanzania tuna udikiteta?.
    9. Je, ni kweli Tanzania tuna Mfumo Kristu? na kuwa rais Magufuli anatumia Mfumo Kristu, hivyo nchi itaingia kwenye machafuko! "As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance)?.
    10. Je, ni kweli ugaidi Tanzania unaanzia Zanzibar? "The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar".
    11. Je, ni kweli "Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging"?.
    12. Je, ni kweli jeshi letu la polisi linavipuuza matukio ya kigaidi na kuyahesabu ni uhalifu tuu wa kawaida?. "Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups"?.
    13. Je, Tanzania tuna "galvanized Muslims communities", "Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups".
    14. Japo ni kweli Tanzania tuna "restrictions on political" jee ni kweli kuna anye restrictions on "religious organizations"?.
    15. Je, Tanzania kweli tuna "alleged extrajudicial killings and detentions"?, kuna watu wowote wameshikwa wakauliwa bila kufikishwa mahakamani?., au kuna mahabusu wowote wako kizuizini bila kufikishwa mahakamani?.
    16. Je, ni kweli Tanzania, tuna "unequal economic policies, particularly relating to land management"?.
    17. [*]Je, ni kweli Bakwata imepoteza legitimacy "have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA)"?.
    18. [*]Je, Tanzania tuna makundi mawili kinzani ya Waislamu?, yaani kuna Wahhabbi ns wa Sufi? "These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association".
    19. Je, ni kweli "BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities"?.
    20. Je, ni kweli Tanzania tuna Muslim extremist mikoa ya Tanga, Pwani na Mtwara?, "The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors".
    21. Je, ni kweli "The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system?.
    22. Je, ni kweli hili kuhusu Tanga? "Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia".
    23. Je, huu ni ukweli kuhusu lile tukio la mapango ya Handeni?. "Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area"
    24. Je, ni kweli Tanga kuna prominence of political opposition?, "It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott".
    25. Je, ni kweli mauaji ya Kibiti ni ya kigaidi? "In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017".
    26. Je, ni kweli Kibiti ndio chungu cha kuwapika Al Shabaab na kuwa export? " Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna".
    27. Je, ni kweli kuna wakazi 380 wa Kibiti wamepotea na ni vyombo vyetu vya usalama ndio vimewapoteza?, "Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses". NB. Mwandishi wa Habari wa Citizen Mwananchi, Azory Gwanda alipotea katika kuufuatilia ukweli wa tuhuma hii na hakuna mwandishi au chombo kingine cha habari kimefuatilia!.
    28. Je, ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
    29. Je, ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".
    30. Je, ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
    31. Je, ni kweli Mtwara ni neglected? "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
    32. Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win.
    33. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Nimecheka sana, alivyosema Magufuli ilikuwa sahihi jina lako ni njaa, kwa hiyo demokrasia ni kushinda 99.9% baada ya kuengua wengine?na hata mtoto wangu wiaka 5 ukimuuliza kuhusu uchaguzi atakuambia ni mgumu sasa 90%+inatoka wapi? Nilikuwa nadhani na kuamini wewe ni mwanataaluma wa maana,lakini unaegemea upande mmoja hadi unataka kuanguka,hebu nyooka,ungeweza kuandika ishu ya usalama bila kuhusisha ushindi na asilimia za uongo ndani,umeharibu kuchanganya na ushabiki ndani,usalama wa nchi ni muhimu sana nakubaliana na wewe vilevile haki ni muhimu sana,amani ni matunda ya haki,mimi mwenyewe sipendi kuona nchi inaingiliwa ila saa nyingine tunaonyesha watu wa nje tunahitaji kuingiliwa,sasa nakuuliza kunahaja gani ya kutembeza jwtz mitaa ya zanzibar? Ili dunia ione siyo?kwani tungewapeleka baada ya uchaguzi ningeelewa tunalinda usalama lakini kabla ya kura?tumeanza na kuengua wabunge na madiwani baada ya kelele na kujiabisha tunawarudi baadhi,kama ni kuiba kura siuibe kimya dakika ya mwisho,lakini unaanza kudhihirisha mapema halafu dunia yote ikitoa macho unalalamika,ni kama unaenda kuiba kwa jirani halafu unapita asubuhi unatizama kufuli yake na kuitingisha ikitoka unamwambia naangalia tu,mchana unaangalia dirisha tena anakuona,jiioni unapanda ukutani tena,halafu akilalamika unataka kumwibia unasema anazusha,sasa analeta mjirani kutizama kama utaiba kweli halafu mnapiga kelele.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.
Angalizo
Kabla hujalisoma bandiko hili lenye hoja 10 na maswali 33 ya kiusalama, naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu uwezo wa kusoma hoja za kiusalama, sio kila mtu mwenye uwezo wa kusoma, kua analyse na kuelewa complex issues, kama ilivyo kwa sisi waandishi, sio kila mwandishi ana uwezo wa kufanya IJ, wengine ni maripota tuuna huo ndio uwezo wao, au sio kila mtangazaji ni news reader, anchorman or talk show host, hivyo sisi wana jf ni hivyo hivyo, tunauwezo tofauti tofauti, kwa vile hili bandiko, ni bandiko la a very serious thing kuhusu usalama wa taifa letu, nakuomba kama unajijua uwezo wako kua analyse na kuelewa complex issues ni limited, nakuomba ishia hapa, maana huko mbele utaishia kuona manyota tuu!.
Mpango wenyewe uko hivi:

  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania

  11. Duh...!., Mkuu mpenzi Faiza (NB. Mtu kuwa mpenzi ni ukimpenda tuu, yatosha kumuita mpenzi na sii lazima na yeye akupende au muwe wapenzi), kwanza asante kutuletea hii taarifa, pili kwa ruhusa yako nitaomba kutumia hoja za bandiko lako hili kupandisha bandiko la kutoa angalizo kwa serikali yetu kuhusu haya. Na tatu hiyo conclusion ya Tanzanite TV kuhusu mabeberu hawa Wamarekani wanataka nini Tanzania, hata akina sisi hayo tuliishayasema sana humu


    Ila baada ya wewe kusikiliza hiyo taarifa ya Tanzanite TV, umefanya jambo la maana sana kuitafuta source yao na kutuwekea maana hivi vyuma vya Magufuli vilivyokaza kwa baadhi yetu, hata bundle ni issue, hivyo angalau umetusaidia wengi kujua, maana siku hizi hapa Bongo baada ya kushamiri kwa magazeti ya makorokocho, sasa kumeibuka TV nyingi za mitandaoni ambazo ni TV za makorokocho, mimi niliihesabu hata Tanzanite TV pia ni TV ya makorokocho kutokana na yule kichaa mmiliki wake, ila kitendo cha kuleta mada serious kama hii na kuichambua kwa makini vile kwa kuonyesha mchele na pumba, sasa naichukulia hiyo TV ni serious I can watch.

    Kwangu the most interesting thing kuhusu hii article the primary source wa article hii, mtu aliyehojiwa akaeleza hayo yote. Japo wenyewe hawajamtaja kwa jina, zaidi ya kumuelezea tuu kuwa ni
    " Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar" kwa sisi wenye jicho la tatu, kupitia kitu kinachoitwa "graphology" ni sayansi ya maandishi, ukisoma andiko fulani ambalo mwandishi ni anonymous, kupitia andishi hilo, unaweza kumjua mwandishi ni nani, hivyo kupitia makala hii, huyo Dar es Salaam based scholar aliyehojiwa hivyo hoja kama Mfumo Kristu, na kuidogosha Bakwata, then wanye ufahamu wa hoja tayari tumeisha wajua watu wa aina hii baada ya kumchezea sana Jakaya, wakataka kuendelea kumchezea Yohana, walipomgundua kuwa Yohana ni noma, anaweza kuwa fykelea mbali, sasa ndio hawa wenye hoja hizi za urongo wa kidini kwa kufanya mahojiano na vyombo vya mabeberu na kutoa habari za kuitisha, kuifedhehesha na kuibagaza serikali yetu kwa media za kibeberu.
    1. Je, ni kweli "Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique?".
    2. Je, ni kweli kuwa Tanzania tuna vikundi vya kigaidi, Jihadist groups, vinazotumika Mozambique, Kenya, and Somalia, bila kufanya ugaidi nchini, lakini baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 presidential elections, Islamist groups in the country are likely to become more active na kufanya kweli!. Why?!.
    3. Je, ni kweli Tanzania tuna Watanzania ma ma radicas ambao ambao wameondoka nchini na kujiungana vikundi vya kigaidi, "A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state"
    4. Je, ni kweli Tanzania tuna mitandao wa kigaidi, " networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania"?.
    5. Je, ni kweli magaidi wa Kenya "Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast"?.
    6. Je, ni kweli TISS wetu walifanikiwa kuwakamata baadhi na kuwarejesha ila wengine wakawatoroka "Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose"?.
    7. Je, ni kweli "The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present"?, ziko wapi?.
    8. Je, ni kweli chanzo cha radicalism ni kuupinga "udikiteta? "resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing?. Ni kweli Tanzania tuna udikiteta?.
    9. Je, ni kweli Tanzania tuna Mfumo Kristu? na kuwa rais Magufuli anatumia Mfumo Kristu, hivyo nchi itaingia kwenye machafuko! "As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance)?.
    10. Je, ni kweli ugaidi Tanzania unaanzia Zanzibar? "The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar".
    11. Je, ni kweli "Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging"?.
    12. Je, ni kweli jeshi letu la polisi linavipuuza matukio ya kigaidi na kuyahesabu ni uhalifu tuu wa kawaida?. "Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups"?.
    13. Je, Tanzania tuna "galvanized Muslims communities", "Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups".
    14. Japo ni kweli Tanzania tuna "restrictions on political" jee ni kweli kuna anye restrictions on "religious organizations"?.
    15. Je, Tanzania kweli tuna "alleged extrajudicial killings and detentions"?, kuna watu wowote wameshikwa wakauliwa bila kufikishwa mahakamani?., au kuna mahabusu wowote wako kizuizini bila kufikishwa mahakamani?.
    16. Je, ni kweli Tanzania, tuna "unequal economic policies, particularly relating to land management"?.
    17. [*]Je, ni kweli Bakwata imepoteza legitimacy "have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA)"?.
    18. [*]Je, Tanzania tuna makundi mawili kinzani ya Waislamu?, yaani kuna Wahhabbi ns wa Sufi? "These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association".
    19. Je, ni kweli "BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities"?.
    20. Je, ni kweli Tanzania tuna Muslim extremist mikoa ya Tanga, Pwani na Mtwara?, "The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors".
    21. Je, ni kweli "The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system?.
    22. Je, ni kweli hili kuhusu Tanga? "Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia".
    23. Je, huu ni ukweli kuhusu lile tukio la mapango ya Handeni?. "Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area"
    24. Je, ni kweli Tanga kuna prominence of political opposition?, "It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott".
    25. Je, ni kweli mauaji ya Kibiti ni ya kigaidi? "In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017".
    26. Je, ni kweli Kibiti ndio chungu cha kuwapika Al Shabaab na kuwa export? " Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna".
    27. Je, ni kweli kuna wakazi 380 wa Kibiti wamepotea na ni vyombo vyetu vya usalama ndio vimewapoteza?, "Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses". NB. Mwandishi wa Habari wa Citizen Mwananchi, Azory Gwanda alipotea katika kuufuatilia ukweli wa tuhuma hii na hakuna mwandishi au chombo kingine cha habari kimefuatilia!.
    28. Je, ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
    29. Je, ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".
    30. Je, ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
    31. Je, ni kweli Mtwara ni neglected? "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
    32. Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win.
    33. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
@Pascali Mayalla sasa vipi kuusu majibu ya hizi hoja??
Hizi hoja ni noma its suicide mission kama kweli kuna hoja za ukweli hapo&
Rais anamalizia wapi kampeni?
 
Je, ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
Je, ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".

Je, ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
Je, ni kweli Mtwara ni neglected? "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win.
The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Kazi imeanza Msumbiji
HIGHLIGHTS

  • At least 7,402 newly displaced people have arrived in Pemba, Cabo Delgado, since 16 October, fleeing violence in Ibo, Quissanga and Macomia districts.
  • Local and provincial authorities are leading response efforts, in close coordination with humanitarian partners, who are providing assistance and protection to new arrivals.
  • The Government has provided food, hygiene kits and masks, while humanitarian partners have provided multi-sectoral support, including ready-to-eat meals, a medical clinic, WASH facilities and protection assistance.
SITUATION OVERVIEW

At least 7,402 newly internally displaced people (IDPs) have arrived with 127 boats in Pemba, Cabo Delgado’s provincial capital, in Mozambique, from 16 to 23 October, according to IOM/DTM. On 22 October alone, 24 boats carrying 2,700 people arrived in the disembarkation areas in Paquitequete neighbourhood of Pemba. The displaced people, who are mostly women and children, are coming from Quissanga, Macomia and Ibo districts, fleeing conflict, violence and insecurity, including following armed attacks on Matemo island in Ibo district this week. Many of the displaced people arriving in Pemba are reportedly fatigued, dehydrated, hungry and suffering from various diseases. Many displaced people who have arrived have indicated that they are planning to move to resettlement areas in other districts of the province (Montepuez, Chiure, Ancuabe or Metuge) that are hosting people displaced by violence in the province, or to stay with host communities in Pemba city. The main needs of the people arriving are clean water, sanitation and hygiene (WASH), food security, health, and protection, especially related to child protection and gender-based violence.
P
 
Mjomba pasco siku hizi makala zako azina mvuto ukisoma page mbili tu unachoka uhitaji kuendelea tatizo nini hivi mfano ukikosa wachangiaji ukikosa na wasomaji itajisikiaje kama kitu unakipenda wewe kipende wewe usitushawishi na sisi tukipende ccm wanayumba angalia zanzibar huko wanachotaka kufanya hivi haki kweli

Soma tu kaka andiko la Mayalla ni level y phd y ukweli sio phd fake fake. Kila mtu kapewa vidonge vyake
 
Chokochoko toka US of A utazipata tu endapo utawa ignore, hasa kama ukifanya biashara sana na China, ukiwabana kwenye uporaji wa maliasili na rasilimali za za nchi yenu, usipowa support kwenye mambo yao, ukiwakatalia kuweka base kwako..
All and all sidhani kwa sasa kama wanashida sana na sisi, kuna vi-nchi vinawapagaisha kuliko sisi, kama Venezuela kwanza, kwa dogo mwenye kiduku, Iran and so on..
Sisi tuendelee na yetu huku tukiwaangalia kwa makini tu...
 
Paskali,
Nimekuvulia kofia. Umeandika mapema mwaka huu, hao magaidi radical Islamist toka Mozambique wameanza kufanya uhalufu muda mfupi tu kabla ya uchaguzi kupitia kusini mwa Tanzania.

On serious notice, mabeberu sio watu wa kucheka nao; furaha yao ni kuona nchi zetu hasa well resourced countries; zinakuwa unstable ili wao wapate pa kujipenyezea.

Historia inaonesha waki-fund magaidi Lybia dhidi ya Col. Ghadafi; hawa they can use any one at whatever the cost kufikia malengo yao.

Bahati mbaya; njaa kama za Esau wa kwenye biblia zinawafanya watu wengi "kuuza uhuru wao" kwa vipande vya fedha.

Nadhani walio kwenye vyombo wanajua what to be done ili stability ya nchi iwepo.

Either, watawala wajitahidi sana kuwa sehemu ya kuzalisha kazi kwa sekta rasmi na isiyo rasmi ili vijana wawe busy kuzalisha.
Vinginevyo, yaweza kuwa rahisi kutumiwa kwa vipande vya fedha kukidhi njaa ya siku moja.

Shalom
 
Chokochoko toka US of A utazipata tu endapo utawa ignore, hasa kama ukifanya biashara sana na China, ukiwabana kwenye uporaji wa maliasili na rasilimali za za nchi yenu, usipowa support kwenye mambo yao, ukiwakatalia kuweka base kwako..
All and all sidhani kwa sasa kama wanashida sana na sisi, kuna vi-nchi vinawapagaisha kuliko sisi, kama Venezuela kwanza, kwa dogo mwenye kiduku, Iran and so on..
Sisi tuendelee na yetu huku tukiwaangalia kwa makini tu...
Huu upumbavu wote huwa mnaaminushwa na watawala kuhusu watu wanaosimama na ninyi. Hata siku akianza kusimama na wananchi huu uzwazwa utaanza kuenezwa
 
Back
Top Bottom