Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Acheni propaganda za kijinga bhana, Magufuli alikuwa anaumwa moyo, Magu alikuwa hataki stress au kuwa na mawazo, kifo cha Mkapa kilimuumiza sana, na kifo cha Kijazi ambae alikuwa rafiki yake kilimuumiza kupitiliza, kiufupi stress ndiyo zilizo muua..

-Aliondoa upinzani Bungeni ili apunguze stress na makelele ya upinzani alidhibiti vyombo vya Habari na upinzani ili kuondoa stress, kile ki piece maker usiombe uwekewe hicho kidude kilimuondoa mjomba wangu..

Magu alikuwa anahitaji sana support ya watanzania na alikuwa hataki mtu wa kumkosoa sababu ya maradhi yake ya moyo
Kwahiyo hayo maradhi yake si akaenda kukaa kwao wengine wawe marais
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje na kutekelezwa bila ya kuwatumia watu wa ndani, au bila ya ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kidogo kidogo na kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa kutekeleza ugaidi huo na kuonekana ni Watanzania wenyewe ndio wanafanya ugaidi.


Paskali
..HAKUNA MWANDISHI WA HABARI(ukiwemo wewe) WALIOTHUBUTU KUMSHAURI MHESHIMIWA KAMA ULIVOFANYA LEO KWA MAMA SAMIA. Leo unajifanya unashauri usalama wa taifa uliotengenezwa na huyo mliokuwa mnalamba miguu
 
Katika historia kuanzia mwaka 1950 nchi nyingi ziliwahi kukumbwa na msukosuko kwa viongozi wa nchi hizo kutokukubaliana na matakwa ya watu hawa.Baadhi ya viongozi wa nchi hizo waling'olewa madarakani na wengine wawaliuawa.

Kutokana na ukweli huu nadadavua kwamba,kama rais wa nchi yoyote ile atakuwa na urafiki na serikali ya Marekani basi lazima awe adui kwa wananchi wake,na rais yeyote atakayekuwa na urafiki na wananchi wake basi lazima awe adui kwa serikali ya marekani na hivyo hatadumu madarakani.
Hivyo inawezekana naniliu alitofaitiana na mabeberu hawa, hivyo wakamnaniliu?.
P.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 44 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje na kutekelezwa bila ya kuwatumia watu wa ndani, au bila ya ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kidogo kidogo na kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa kutekeleza ugaidi huo na kuonekana ni Watanzania wenyewe ndio wanafanya ugaidi.
Angalizo
Kabla hujalisoma bandiko hili lenye hoja 10 na maswali 33 ya kiusalama, naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu uwezo wa kusoma hoja za kiusalama, sio kila mtu mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kusoma kila kitu na kukielewa alichosoma, vitu vingine ni vikubwa na vigumu kueleweka, hivyo uwezo wetu wa kusoma, kuelewa na kua analyse baadhi ya issues ni limited, haswa tunapokuja kwenye complex issues, zinazohitaji some specialised knowledge kama ilivyo kwa sisi waandishi, sio kila mwandishi ana uwezo wa kufanya IJ, (Investigative Journalism), waandishi wengine uwezo wao ni kuwa maripota tuu, na huo ndio uwezo wao, au sio kila mtangazaji ni news reader, anchorman or talk show host.

Hivyo na sisi wana jf ni tuko hivyo hivyo, tunauwezo tofauti tofauti, wa kuelewa issues tofauti tofauti, kwa vile hili bandiko, ni bandiko la a very serious thing na ni serious issue kuhusu usalama wa taifa letu, nakuomba kama unajijua uwezo wako kua analyse na kuelewa complex issues ni limited, nakushauri, bora ishia hapa, maana huko mbele utaishia kuona manyota tuu!.
Mpango wenyewe uko hivi:

  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, haswa kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, mabeberu wa Wamarekani na washarika wao, hawapendi.
  2. Mabeberu hawa Wamarekani na washarika wao, wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote duniani wenye vested interest na rasilimali zao, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni "Tanzanian Democracy" ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi vya siasa, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi huo ukawa ni uchaguzi wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani na washarika wake, hawataki kukubali hilo.
  3. Kufuatia ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili kuzuia hili la kilichotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lisijirudie au lisitokee kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020, mabeberu hawa wa Marekani na washarika wake, watatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents wa ndani na nje ya nchi ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa na Watanzania kutoka pande zote.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia zaidi ya 80+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kutafuta justification ya kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kweli ni kusaka magaidi bali ku fund more and more dissidents kum distabilize Magufuli!. Hiki ndicho kilichofanyika Libya!.
  5. Pia mabeberu hawa wa Marekani na washarika wake, wanataka kulazimisha human rights records zao kuwa ndio standards records za wote!, kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, mabeberu wa Marekani na washarika wake, kwa kutumia taasisi zake za kibeberu ikiwemo Human Rights Watch, Amnest International, na vyombo vya usalama vya kibeberu, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kristu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuja kuwa magaidi hapo baadaye na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi nchini Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda kwa kishindo awamu yake ya pili.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu chochote, au taarifa yoyote kuhusu tishio lolote la usalama wa taifa letu, sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mtanzania Mzalendo baada ya kuipokea taarifa hii, nimetimiza wajibu wangu, kuisambaza, ili wahusika waijue, na sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 44, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
    Jumatatu njema

    Paskali
Ikitokea tukio la jana ni ugaidi kweli, na gaidi mwenyewe ndio kauwawa, Luna Watanzania wenzetu ndio wataanza kushangaa as if ni kitu cha ajabu.

Kwa waliosoma bandiko hili, mtangundua Luna vitu tulisema humu kuwa vinaweza kutokea, hivyo tukio la jana is not a surprise as if ni tukio la ajabu, kumbe wapanga tukio wapo, funders na financials wapo na wanajilikana, kisicho julikana ni watekelezaji tuu, kama ndio hawa wanaouliwa bila kuwajua waliowatuma, hivi vita vya ugaidi wa kimataifa, sisi Watanzania, tutaviweza kweli?.
P
 
Ikitokea tukio la jana ni ugaidi kweli, na gaidi mwenyewe ndio kauwawa, Luna Watanzania wenzetu ndio wataanza kushangaa as if ni kitu cha ajabu.

Kwa waliosoma bandiko hili, mtangundua Luna vitu tulisema humu kuwa vinaweza kutokea, hivyo tukio la jana is not a surprise as if ni tukio la ajabu, kumbe wapanga tukio wapo, funders na financials wapo na wanajilikana, kisicho julikana ni watekelezaji tuu, kama ndio hawa wanaouliwa bila kuwajua waliowatuma, hivi vita vya ugaidi wa kimataifa, sisi Watanzania, tutaviweza kweli?.
P
Lakini si kwa tukio hilo la jana.

Kama ingekuwa hivyo basi huyo muuaji angekwenda kwenye uwingi wa watu na kuanza kushambulia raia wengi.

Hii naamini bado inabaki kuwa "isolated case".

Hata hivyo tusubiri uchunguzi ukamilike tupate picha halisi.
 
Ikitokea tukio la jana ni ugaidi kweli, na gaidi mwenyewe ndio kauwawa, Luna Watanzania wenzetu ndio wataanza kushangaa as if ni kitu cha ajabu.

Kwa waliosoma bandiko hili, mtangundua Luna vitu tulisema humu kuwa vinaweza kutokea, hivyo tukio la jana is not a surprise as if ni tukio la ajabu, kumbe wapanga tukio wapo, funders na financials wapo na wanajilikana, kisicho julikana ni watekelezaji tuu, kama ndio hawa wanaouliwa bila kuwajua waliowatuma, hivi vita vya ugaidi wa kimataifa, sisi Watanzania, tutaviweza kweli?.
P
Jana hakuna ugaidi, angekuwa gaidi angewasha ombaomba, daladala mpaka ule msafara, uliopiga U-turn na kukimbia.

Jana ni mtu aliyetaka kufa kifo cha kipekee. Wasiomjua wamjue.

Everyday is Saturday.............................. :cool:
 
Ikitokea tukio la jana ni ugaidi kweli, na gaidi mwenyewe ndio kauwawa, Luna Watanzania wenzetu ndio wataanza kushangaa as if ni kitu cha ajabu.

Kwa waliosoma bandiko hili, mtangundua Luna vitu tulisema humu kuwa vinaweza kutokea, hivyo tukio la jana is not a surprise as if ni tukio la ajabu, kumbe wapanga tukio wapo, funders na financials wapo na wanajilikana, kisicho julikana ni watekelezaji tuu, kama ndio hawa wanaouliwa bila kuwajua waliowatuma, hivi vita vya ugaidi wa kimataifa, sisi Watanzania, tutaviweza kweli?.
P
Cha msingi JE, TUTAWEZA??
Jana tumeonyesha response ya chini SANA, hakuwa gaidi, fatalities zingekuwa nyingi.

Maana muda aliokuwa FREE kurusha risasi ulikuwa mwingi, pamoja na uwepo wa maaskari, ambao kazi yao imekuwa kukusanya TOZO za magari.
Kuna ya kuwa Drills za emergency responses.
Tuko weupeee.
PT inayo escort kigogo, inageuka inakimbia??


Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 44 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje na kutekelezwa bila ya kuwatumia watu wa ndani, au bila ya ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kidogo kidogo na kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa kutekeleza ugaidi huo na kuonekana ni Watanzania wenyewe ndio wanafanya ugaidi.
Angalizo
Kabla hujalisoma bandiko hili lenye hoja 10 na maswali 33 ya kiusalama, naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu uwezo wa kusoma hoja za kiusalama, sio kila mtu mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kusoma kila kitu na kukielewa alichosoma, vitu vingine ni vikubwa na vigumu kueleweka, hivyo uwezo wetu wa kusoma, kuelewa na kua analyse baadhi ya issues ni limited, haswa tunapokuja kwenye complex issues, zinazohitaji some specialised knowledge kama ilivyo kwa sisi waandishi, sio kila mwandishi ana uwezo wa kufanya IJ, (Investigative Journalism), waandishi wengine uwezo wao ni kuwa maripota tuu, na huo ndio uwezo wao, au sio kila mtangazaji ni news reader, anchorman or talk show host.

Hivyo na sisi wana jf ni tuko hivyo hivyo, tunauwezo tofauti tofauti, wa kuelewa issues tofauti tofauti, kwa vile hili bandiko, ni bandiko la a very serious thing na ni serious issue kuhusu usalama wa taifa letu, nakuomba kama unajijua uwezo wako kua analyse na kuelewa complex issues ni limited, nakushauri, bora ishia hapa, maana huko mbele utaishia kuona manyota tuu!.
Mpango wenyewe uko hivi:

  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, haswa kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, mabeberu wa Wamarekani na washarika wao, hawapendi.
  2. Mabeberu hawa Wamarekani na washarika wao, wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote duniani wenye vested interest na rasilimali zao, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni "Tanzanian Democracy" ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi vya siasa, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi huo ukawa ni uchaguzi wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani na washarika wake, hawataki kukubali hilo.
  3. Kufuatia ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% wa CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili kuzuia hili la kilichotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lisijirudie au lisitokee kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020, mabeberu hawa wa Marekani na washarika wake, watatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents wa ndani na nje ya nchi ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa na Watanzania kutoka pande zote.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia zaidi ya 80+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kutafuta justification ya kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kweli ni kusaka magaidi bali ku fund more and more dissidents kum distabilize Magufuli!. Hiki ndicho kilichofanyika Libya!.
  5. Pia mabeberu hawa wa Marekani na washarika wake, wanataka kulazimisha human rights records zao kuwa ndio standards records za wote!, kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, mabeberu wa Marekani na washarika wake, kwa kutumia taasisi zake za kibeberu ikiwemo Human Rights Watch, Amnest International, na vyombo vya usalama vya kibeberu, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kristu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuja kuwa magaidi hapo baadaye na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi nchini Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda kwa kishindo awamu yake ya pili.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu chochote, au taarifa yoyote kuhusu tishio lolote la usalama wa taifa letu, sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mtanzania Mzalendo baada ya kuipokea taarifa hii, nimetimiza wajibu wangu, kuisambaza, ili wahusika waijue, na sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania

  11. Duh...!., Mkuu mpenzi Faiza (NB. Mtu kuwa mpenzi ni ukimpenda tuu, yatosha kumuita mpenzi na sii lazima na yeye akupende au muwe wapenzi), kwanza asante kutuletea hii taarifa, pili kwa ruhusa yako nitaomba kutumia hoja za bandiko lako hili kupandisha bandiko la kutoa angalizo kwa serikali yetu kuhusu haya. Na tatu hiyo conclusion ya Tanzanite TV kuhusu mabeberu hawa Wamarekani wanataka nini Tanzania, hata akina sisi hayo tuliishayasema sana humu


    Ila baada ya wewe kusikiliza hiyo taarifa ya Tanzanite TV, umefanya jambo la maana sana kuitafuta source yao na kutuwekea maana hivi vyuma vya Magufuli vilivyokaza kwa baadhi yetu, hata bundle ni issue, hivyo angalau umetusaidia wengi kujua, maana siku hizi hapa Bongo baada ya kushamiri kwa magazeti ya makorokocho, sasa kumeibuka TV nyingi za mitandaoni ambazo nyingi ni TV za makorokocho, kutokana na gazeti la Tanzanite, mimi kulihesabu ni gazeti la makorokocho, hata Tanzanite TV pia ni nili ihesabu ni TV ya makorokocho, kutokana na yule kichaa mmiliki wake, ila kitendo cha TV hii kuleta mada serious kama hii na kuichambua kwa makini vile kwa kuonyesha mchele na pumba, sasa naichukulia hiyo TV ni serious and I can watch.

    Kwangu the most interesting thing kuhusu hii article, ni the primary source wa article hii, yule mtu aliyehojiwa akaeleza hayo yote. Japo wenyewe hawajamtaja kwa jina, zaidi ya kumuelezea tuu kuwa
    " Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar" kwa sisi wenye jicho la tatu, kupitia kitu kinachoitwa "graphology" ni sayansi ya maandishi, ukisoma andiko fulani ambalo mwandishi ni anonymous, kupitia andishi hilo, unaweza kumjua mwandishi ni nani, hivyo kupitia makala hii, huyo Dar es Salaam based scholar aliyehojiwa hivyo na hoja zake za kilio cha "Mfumo Kristu", na kuidogosha Bakwata, then wanye ufahamu wa hoja tayari tumeisha wajua watu wa aina hii ni kina nani!, na baada ya kumchezea sana Jakaya, wakataka pia kuendelea kumchezea Yohana, walipomgundua kuwa Yohana ni noma, anaweza kuwa fykelea mbali, sasa ndio hawa wenye hoja hizi za urongo wa kidini kwa kufanya mahojiano na vyombo vya mabeberu na kutoa habari za kuitisha, kuifedhehesha na kuibagaza serikali yetu kwa media za kibeberu. Mimi kama mwandishi wa habari, waandishi tumegawanyika, wengine kazi yao ni kuripoti, ndio wale maripota wa taarifa mbalimbali mnazoletewa kwenye taarifa za habari, wengine specialization yetu ni kuhoji tuu, yaani kufanya interview na kupiga maswali tuu. Baada ya kusoma taarifa hiyo, nimeibuka na maswali yafuatayo...
    1. Je, ni kweli "Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique?".
    2. Je, ni kweli kuwa Tanzania tuna vikundi vya kigaidi, Jihadist groups, vinazotumika Mozambique, Kenya, and Somalia, bila kufanya ugaidi nchini, lakini baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 presidential elections, Islamist groups in the country are likely to become more active na kufanya kweli!. Why?!.
    3. Je, ni kweli Tanzania tuna Watanzania ma ma radicas ambao ambao wameondoka nchini na kujiungana vikundi vya kigaidi, "A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state"
    4. Je, ni kweli Tanzania tuna mitandao wa kigaidi, " networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania"?.
    5. Je, ni kweli magaidi wa Kenya "Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast"?.
    6. Je, ni kweli TISS wetu walifanikiwa kuwakamata baadhi na kuwarejesha ila wengine wakawatoroka "Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose"?.
    7. Je, ni kweli "The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present"?, ziko wapi?.
    8. Je, ni kweli chanzo cha radicalism ni kuupinga "udikiteta? "resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing?. Ni kweli Tanzania tuna udikiteta?.
    9. Je, ni kweli Tanzania tuna Mfumo Kristu? na kuwa rais Magufuli anatumia Mfumo Kristu, hivyo nchi itaingia kwenye machafuko! "As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance)?.
    10. Je, ni kweli ugaidi Tanzania unaanzia Zanzibar? "The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar".
    11. Je, ni kweli "Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging"?.
    12. Je, ni kweli jeshi letu la polisi linavipuuza matukio ya kigaidi na kuyahesabu ni uhalifu tuu wa kawaida?. "Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups"?.
    13. Je, Tanzania tuna "galvanized Muslims communities", "Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups".
    14. Japo ni kweli Tanzania tuna "restrictions on political" jee ni kweli kuna anye restrictions on "religious organizations"?.
    15. Je, Tanzania kweli tuna "alleged extrajudicial killings and detentions"?, kuna watu wowote wameshikwa wakauliwa bila kufikishwa mahakamani?., au kuna mahabusu wowote wako kizuizini bila kufikishwa mahakamani?.
    16. Je, ni kweli Tanzania, tuna "unequal economic policies, particularly relating to land management"?.
    17. [*]Je, ni kweli Bakwata imepoteza legitimacy "have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA)"?.
    18. [*]Je, Tanzania tuna makundi mawili kinzani ya Waislamu?, yaani kuna Wahhabbi ns wa Sufi? "These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association".
    19. Je, ni kweli "BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities"?.
    20. Je, ni kweli Tanzania tuna Muslim extremist mikoa ya Tanga, Pwani na Mtwara?, "The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors".
    21. Je, ni kweli "The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system?.
    22. Je, ni kweli hili kuhusu Tanga? "Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia".
    23. Je, huu ni ukweli kuhusu lile tukio la mapango ya Handeni?. "Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area"
    24. Je, ni kweli Tanga kuna prominence of political opposition?, "It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott".
    25. Je, ni kweli mauaji ya Kibiti ni ya kigaidi? "In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017".
    26. Je, ni kweli Kibiti ndio chungu cha kuwapika Al Shabaab na kuwa export? " Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna".
    27. Je, ni kweli kuna wakazi 380 wa Kibiti wamepotea na ni vyombo vyetu vya usalama ndio vimewapoteza?, "Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses". NB. Mwandishi wa Habari wa Citizen Mwananchi, Azory Gwanda alipotea katika kuufuatilia ukweli wa tuhuma hii na hakuna mwandishi au chombo kingine cha habari kimefuatilia!.
    28. Je, ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
    29. Je, ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".
    30. Je, ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
    31. Je, ni kweli Mtwara ni neglected? "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
    32. Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win.
    33. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
pitia na hii
 
Paschal Mayala,wewe ni mtu wa idara ya usalama wa Taifa na ccm wamekupandikiza kwa makusudi humu mitandaoni kwaajili ya kuvuruga movements za Watanzania za kuing'oa ccm na kudai katiba mpya
Mkuu monde arabe, du...!.
Naheshimu freedom of thinking and freedom of expression yako,
Hivyo inawezekana hata siku ile pale Ikulu ni Idara ndiyo ilinituma kumuuliza swali hili Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli bosi wangu?.

Na katika kuisafisha Idara, huyu ni ofisa wa Idara amekuja humu kuisaidia kuisafisha idara TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Na ili kulisafisha Bunge letu, itakuwa ofisa kipenyo huyu alishauriwa kuandika kuhusu Bunge kujipendekeza kwa serukali kisha ikamtuma dodoma Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Na kulipotokea tishio la usalama kwa taifa letu, afisa kipenyo huyu ali copy and paste ripoti ya ofisini na kuimwaga humu jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Then kiukweli tutakuwa na TISS ya ajabu sana!.
Kama kila watoto wanaozaliwa na wazazi wote baba na mama ambao ni Tiss na watoto wao ni Tiss then TISS itakuwa na watu wengi sana!, sisi tumezaliwa 8!.
P
 
Pascal Mayalla,

Paskali, nadhani unatakiwa kuwaambia hao watawala ndio wawe makini, unaposema tuwe makini sisi sikuelewi kabisa, sijasoma maelezo yako yote kwani yanakatisha tama hata kuyasoma yote, (kwa kutumia heading yako tu), mimi naona Marekani wanachelewa tu, wangechukua hatua ya wanachotaka kufanya ile tujue kinachofuata.
Ah, hii kumbe ya zamani, walishamwua, kama walivyomfanya yule wa Guatemala. Marekani essentially ni dola la Kishetani. Walitaka kuisambaratisha Ethiopia, bahati nzuri AU imesimama wima na leo wanatia mkataba wa amani na TPLF.
 
Wanabodi

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic, bonafide genuine from trusted sources na sio data za kuokoteza, data za kubuni, kuzua, au kuunga unga, hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewi kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu sana kuilaumu ofisi yake mitandaoni!.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.
Kaka Pascal Umenitisha sana mzee wa kitengo pale Saint Peters.
Mkuu Phillipo Bukililo, mtu wa kitengo, angeweza kuleta bandiko kama hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Au hili Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? kwanini nilete humu nisipeleke ofisini?.

Mkuu wa TISS ni CinC, ningekuwa kule, baada ya kuona maisha ya CinC yako hatarini, kwanini nisiripoti kitengo, na badala yake nikaja kuripoti humu?, US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? mwisho wa siku you know what happened!, kwanini sikusaidia?.

Kinachofanya watu humu kunidhania, ni kufuatia wazazi wangu wote wawili, baba na mama both ni watu wa huko, hivyo watu kudhani mwana wa nyoka ni nyoka!, sisi tumezaliwa 8!, kama watoto wote wa kitengo wanaajiriwa kitengo, hicho kitengo kina watu wangapi?. Kati ya sisi 8, mwenye watoto wachache ni 6!, mimi ninao 10 wa home!, hicho kitengo kitakuwa na watu wangapi?.

P
 
Mkuu Phillipo Bukililo, mtu wa kitengo, angeweza kuleta bandiko kama hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Au hili Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? kwanini nilete humu nisipeleke ofisini?.

Mkuu wa TISS ni CinC, ningekuwa kule, baada ya kuona maisha ya CinC yako hatarini, kwanini nisiripoti kitengo, na badala yake nikaja kuripoti humu?, US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? mwisho wa siku you know what happened!, kwanini sikusaidia?.

Kinachofanya watu humu kunidhania, ni kufuatia wazazi wangu wote wawili, baba na mama both ni watu wa huko, hivyo watu kudhani mwana wa nyoka ni nyoka!, sisi tumezaliwa 8!, kama watoto wote wa kitengo wanaajiriwa kitengo, hicho kitengo kina watu wangapi?. Kati ya sisi 8, mwenye watoto wachache ni 6!, mimi ninao 10 wa home!, hicho kitengo kitakuwa na watu wangapi?.

P
mmmh
 
Wanabodi,
Mpango wenyewe uko hivi:

  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, haswa kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, mabeberu wa Wamarekani na washarika wao, hawapendi.
Jumatatu njema

Paskali
  1. Japo Blaza, anasemekana he left by natural causes, ila kwenye vita vya kimaslahi, wabeberu wanaweza kufanya lolote!, hivyo pia anaweza kuwa emeleftishwa kwasababu za kiuchumi!.
  2. Kuna uwezekano baada ya kumleftisha, wanahakikisha, wanajipenyeza kisawasawa!.
  3. Unaweza kukuta Mwarabu wa Dubai ni front tuu lakini nyuma yake yuko kubwa la mabeberu, Marekani!.
  4. Waheshimiwa wabunge wetu kesho wanajadili mkataba huu. Nawaomba watangulize maslahi ya taifa mbele!.
  5. Baada ya kumpa Mwarabu wa Dubai kutuendeshea Bandari yetu ya Dar es Salaam, jee mpango wa Bandari ya Bagamoyo bado upo?.
Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu majadiliano mema hapo kesho.
P
 
Back
Top Bottom