Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Acheni propaganda za kijinga bhana, Magufuli alikuwa anaumwa moyo, Magu alikuwa hataki stress au kuwa na mawazo, kifo cha Mkapa kilimuumiza sana, na kifo cha Kijazi ambae alikuwa rafiki yake kilimuumiza kupitiliza, kiufupi stress ndiyo zilizo muua..

-Aliondoa upinzani Bungeni ili apunguze stress na makelele ya upinzani alidhibiti vyombo vya Habari na upinzani ili kuondoa stress, kile ki piece maker usiombe uwekewe hicho kidude kilimuondoa mjomba wangu..

Magu alikuwa anahitaji sana support ya watanzania na alikuwa hataki mtu wa kumkosoa sababu ya maradhi yake ya moyo
You nailed bro.
 
Kwahiyo Marekani walitoa pole?
Screenshot_20210323-170504.jpg
Screenshot_20210323-170538.jpg
 
Hotuba zote zinakuwa ni za kumpamba mtu mkuu, kwa ajili tu ya utamaduni, kinachokupa uhalisia kama wanaamini falsafa zake ni matendo yake
Mfano Ramaphosa kamsifia Magufuli kuwa hasafiri nje kwa ajili ya kuitumikia nchi yake, Lakini kama ni jambo zuri kutokusafiri kabisa mbona yeye husafiri na kuhudhuria mikutano mingi ya kimataifa?
Kwanza wamemstiri sana maana kwa utamaduni.wa kwetu mtu asiyeenda kwenye misiba ya wenzake hata wa kwake watu hawaji.
 
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P


Imekaa ki conspiracy (watu na mambo yao!)

I pray for Madam President! Alipobana, Ongeza! Alipodhibiti, Kanyaga! Alipoumbua, Sambaratisha! Aliposhutumu, Kanyaga kabisa! Mwisho fanya kile Nafsi inakubariki!

Ya Mungu mpe Mungu!

Alhamdulilah!
 
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P

Kingine, katika moja wapo wa Imani wa bara za Africa ni pamoja na “miungu ilipanga na kutengeneza njia sahihi (COVID-19)”

da9c0eef-54e1-485f-8bf8-4242e46aa5d1.jpg

Hii taarifa imeandaliwa kwa mujibu wa Maslahi ya nani na kwa lipi?!?

Pumzika kwa Amani JPM
Pumzika kwa Amani JFK
Pumzika kwa Amani PDW

Madhalimu yako na tabia ya kujiridhisha!

Tamati yake imefika ila mbegu kazipanda!
 
Magufuli alikuwa ni tishio kwao kwani alikuwa akianza kutiliwa maanani barani Afrika.

Marafiki zangu wengi tu kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaprofile za hayati Magufuli katika simu zao na wengine hata vijana wao.

Hata maoni ya baadhi ya wazungu katika magazeti mbalimbali ya Ulaya kama Daily Mail wametoa salamu za kumtambua Magufuli kuwa alikuwa kiongozi wa kipekee aliekuwa na nia dhabiti ya kuikomboa nchi yake.

Na hata mzungu mmoja kwenye twitter ameuliza kuhusu maoni ya bwana mmoja aitwae Vava Tampa mwezi ulopita katika gazeti la Guardian la Uingereza.

Katika kichwa cha maoni yake hayo alisema"

It's time for Africa to rein in Tanzania's anti-vaxxer president".​

Kuna kitu chaitwa Global Movement na chafadhiliwa na mfuko wa Bill na Melinda Gates.

Tampa anaanza kuuliza katika makala yake hiyo kwamba "What is wrong with President John Magufuli? Many people in and outside Tanzania are asking this question".

Makala hiyo ilitoka terehe 8 February 2021.

Mengine ni kuchambua upi mchele na yapi makapi.

Hatari!

Mchele hapa upo zaidi ya makapi!
 
Afrika ipi iliyoanza kumtilia maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu Corona na chanjo, ushirikiano na jamii ya kimataifa, nchi zote zimeagiza chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?

Hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu.

Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?

Kukiri kwao jana juu ya legacy ya Magufuli inatwambia mengi! Mengi sana hasa kuhusu wao na sio sisi!

Tumejiuliza kwanini wengi wao wamekiri kwamba Lugha ya Swahili imeingizwa katika mitaala yao???

Tanzania tusimame Imara, the future is too bright for most of us to see,... but we can still see mbele kunani!!!
 
Paskali inabidi ukasaidie vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuhusu hili jambo linalopangwa na Marekani, ila nawaza tu kwamba Tanzania ni Tishio sana kwa nchi kubwa duniani mpaka Marekani atuwazie jambo bata, labda tunakaribia kuwa super power

Kuhusu Kaka Pascal kutusimamia, sina hoja!

Hoja ya sisi kuwa tishio kwa sasa inatokana na Rais aliyekuwepo madarakani, he never gave a ****** ass in all that he did, ikiwemo wao (international community!)!

World war 3 imeanza kitambo sana! (Cold War 2003-2011 ) !

Ila we still got a chance and a choice!
 
Ulichokiongelea hakina ukweli wowote umekiweka zaidi ki conspiracy na hatuna potential yeyote itakayomfanya Marekani aje hapa kama alivyo huko Syria na kwingineko na hapa unajaribu kutengeneza imani flani hivi kwamba aliyekufa tumweke doubt kwamba kuna nyuma ya pazia kifo chake kwamba kuna watu, au mtu (mabeberu) amehusika.

Tuachane na siasa mbona Tundu lissu yupo hai leo na kuna attempts za kumuuwa zilifanyika zikashindikana. Siku ikifika huna ujanja let the weak dies and the strongest survive

Halafu jua kwamba dunia ya sasa watu wengi huendeshwa na hisia zao na sio akili zao.


Chief!!! Kweli unalinganisha Tanzania (JMT) na Syria?!? Kweli?!

Muumba Simama!
 
Nasimama upande wako Mkuu, umeongea Points sana
Alisema mwandishi habari mmoja nguli hapa nchini, Mtu asiyesamehe ni kiumbe dhaifu, na viumbe dhaifu ((wasiosamehe) na wenye visasi na chuki kwa wengine) hufa mapema ili wapishe viumbe shupavu vitawale dunia hii ambayo tulipewa na Mungu tuitawale, Ukitaka kuishi maisha marefu Jifunze kusemehe,
lakini pia Samia Suluhu Hassan alisema, Ukisemwa vibaya na watu wengi maisha yako yatakuwa matatani na utakufa hima.

Mbona mnamtisha mheshimiwa Rais Madam Samia na kifo!? Tena cha Karma?!?

Mnatupa nafasi tufikiri uwenda hata cha JPM kilikua sio mapenzi ya Muumba!!

Shauri zenu!!!
 
Jiwe kafa kwa kiburi chake cha kudharau Corona, yeye na Nkurunzinza ndio marais pekee waliojifanya hawajali protocol za kiafya kuhusu Corona na wameondoka, Marais wenye akili Timamu kama Museven, Kagame na wastaafu wengine japo ni wana umri mkubwa kuliko jiwe wamefuata masharti yao na bado wanaishi
Pole sana MATAGA kw kumpoteza Mungu wako, alikuwa na kiburi na kujitia mjuaji sana
Vipi kuhusu rambirambi watu wametoa maana watu wa kagera hawaja sahau kuhusu tetemeko
 
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P

Kwani ni lazima wakupe pole?
 
Back
Top Bottom