Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,937
- 8,170
You nailed bro.Acheni propaganda za kijinga bhana, Magufuli alikuwa anaumwa moyo, Magu alikuwa hataki stress au kuwa na mawazo, kifo cha Mkapa kilimuumiza sana, na kifo cha Kijazi ambae alikuwa rafiki yake kilimuumiza kupitiliza, kiufupi stress ndiyo zilizo muua..
-Aliondoa upinzani Bungeni ili apunguze stress na makelele ya upinzani alidhibiti vyombo vya Habari na upinzani ili kuondoa stress, kile ki piece maker usiombe uwekewe hicho kidude kilimuondoa mjomba wangu..
Magu alikuwa anahitaji sana support ya watanzania na alikuwa hataki mtu wa kumkosoa sababu ya maradhi yake ya moyo