mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,617
- 9,681
Afadhali ulibadilisha halaf unajua uzur wa fani nyingine unaanzia chini na kadri uzoefu unavyoongezeka unapanda cheo hadi unakuwa meneja au mkurugenzi.Sasa tutaajiriwa wapi kumbe sikukosea kubadili kada hii ya ukatibu muhtasi ingeniendesha mbio kama kigezo ni uzuri
Lakini Cha ajabu kazi ya usecretary miaka nenda rudi hadi unazeeka bado unaitwa secretary tu yaani uko pale pale.