Leo Rais Kikwete ameagiza Secretariet ya Maadili iangalie pia viongozi wa umma wanaotumia nafasi zao kujilimbikizia mali. Viongozi wa Vyuo vya Elimu ya juu na vyuo vya kawaida wanatumia nafasi hizo kujilimbikizia mali.Maagizo ya Rais iwafikie hawa wote ili kuokoa uvujaji wa rasilimali za vyuo. Natoa hoja.