Elections 2010 SECRET PLOT REVEALED: Kikwete aongoza, Lipumba wa pili, Slaa wa tatu

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Matokeo yaliyotolewa mpaka leo usiku na NEC ni kuwa Kikwete aongoza Urais, Lipumba wa CUF wa pili na Slaa wa tatu!

Imegundulika kuwa kuna MWAFAKA WA SIRI WA TANZANIA BARA kati ya CCM na CUF. Mwafaka huo baada ya makubaliano ya kuunda serikali ya mseto Zanzibar ni kumtangaza Kikwete mshindi wa Urais akifuatiwa na Lipumba wa CUF na SLAA awe mshindi wa tatu. Lengo kuu ni kuwa kwa SLAA kuwa mshindi wa 3 itakuwa ni "win-win" situation kwa CCM na CUF.

CCM inamhofu SLAA na CHADEMA kuwa ndiyo kiongozi na chama kinachoweza kuing'oa madarakani. Viongozi wa CUF wana wivu/chuki na CHADEMA kwa kuwa wameona kimechukua nafasi ya CUF kama chama kikuu cha upinzani Tanzania. Hivyo basi, kwa ku distort matokeo ya kura za Urais na kumfanya Lipumba mshindi wa pili inaonekana ni mbinu ya kuimaliza CHADEMA kisiasa.

Mkakati huo unaendana na NEC kuagizwa kutoa matokeo ya kura za Urais kutoka kwenye mikoa ambayo ni ngome za CCM na CUF kama Zanzibar, mikoa ya kusini Lindi na Mtwara, Morogoro, Tanga, Dodoma, Singida, etc.


Lengo ni kuwaandaa Watanzania kisaikolojia kuwa tayari Kikwete atashinda Urais na Lipumba atakuwa mshindi wa pili.


Matokeo kutoka mikoa ambayo SLAA ana nguvu sana na amezoa kura nyingi za Urais kama Dar, kanda ya ziwa, kaskazini na nyanda za juu kusini yamezuiliwa yasitoke. Hii inawapa CCM muda kucheza na matokeo kwenye mikoa hiyo muhimu yenye population ya zaidi ya 8 million people ili hatimaye kuja na matokeo ya mwisho yanayofanana na haya ya sasa hivi kutoka mikoa ya CCM na CUF yenye population ya watu kama 1 million tu.


Zifuatazo ni source kutoka website ya TBC1 (nimeambatanisha snaposhot ya website) na story ya AFP inayo onesha kuwa SLAA sasa is a "distant third" in the presidential race.


MPO HAPO?

Tanzanian president shows strong lead in poll results

By John Kulekana (AFP)

DAR ES SALAAM — President Jakaya Kikwete showed a strong early lead in Tanzania's general elections as results slowly filtered in on Tuesday, with the victor expected to be known by Friday.


"We expect the results will be ready by Friday," the electoral commission's director of elections Rajab Kiravu told AFP Tuesday at the body's headquarters here.

Full results for mainland Tanzania had been announced for 57 out of 239 constituencies by Tuesday afternoon.

Kikwete, who is widely expected to be re-elected, is leading in 40 out of those 57 constituencies.
His closest rival so far is Ibrahim Haruna Lipumba of the Civic United Front (CUF), who has lost three previous presidential bids to ruling party candidates.


Wilbrod Slaa of the CHADEMA party trails a distant third.


Tanzanians were also voting for members of parliament, but the incoming president will have the constitutional right to appoint others to represent minorities and political parties can vote for 75 women MPs on a basis of proportional representation.

Thus about a quarter of the parliament is not directly elected.

The commission said it will announce the next batch of constituencies starting at 5:00 pm (1400 GMT).
Another senior commission official had said earlier in a radio broadcast that the announcement would be made "Friday at the earliest".

Kikwete's ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM - Revolution Party) looks set to give ground to a reinvigorated opposition in parliament.

Perceived delays in vote counting caused some tension in several parts of the country on Monday but no major incident was reported.

Polling took place on Sunday, but Tanzania is a country of more than 43 million inhabitants, geographically larger than France and Germany put together, and includes very remote and under-developed areas.

In Zanzibar, a semi-autonomous entity with far fewer constituencies that has its own president, results were announced more quickly and Ali Mohamed Shein of the ruling CCM was declared the winner by a narrow margin on Monday night.

He received 50.1 percent of the vote, over 49.1 percent for his rival Seif Sharif Hamad, of the opposition Civic United Front (CUF).

Zanzibar's constitution provides for the winner to share power with the runner-up and an AFP journalist reported that CCM and CUF supporters were both celebrating in the streets of Stone Town Tuesday morning.

CCM Revolution supporters chanted "Revolution Forever" while CUF fans sang "Slowly, slowly we are going to the presidency".

On Monday CUF fans had been protesting what they said was an unacceptable delay in announcing results, but after results were announced Hamad appealed to his supporters to see CUF's runner-up position as a "win-win situation".

"It is indeed a victory for all Zanzibaris and Tanzanians. The remarks are highly inspiring to Zanzibaris and all peace-loving people," Kikwete said on state television and radio.

"We have not witnessed such an atmosphere for so many years," he said adding he was "very proud" of both Shein and Hamad.

The weekend elections were the fourth since Tanzania adopted a multiparty system in 1992.
AFP: Tanzanian president shows strong lead in poll results

TBC1.jpg
 
CCM watakuwa hawakupitia hesabu za kubalance chemical equation bse bara CHADEMA bara wanaongoza kuliko cuf kwa upande wa ubunge
 
Ndugu zangu watanzania, mwaka huu tusikubali kamwe kuongozwa na mtu ambaye siyo chaguo letu.

Ninawaomba sana tena sana viongozi wa CHADEMA mfanye uchambuzi wa kina wa taarifa nyingi mnazoletewa zinazohusiana na hila kubwa iliyofanywa na ccm na vyama uchwara ili waendelee kuongoza nchi hii kwa nguvu. Tukiogopa kumwaga damu hatutaweza kuikomboa nchi hii.

Wananchi tupo nyuma yenu hatuwezi kukubali kuporwa haki yetu.
 
Ndo imetoka hio!...Gaadem jamaa kaiga mtindo wa Kenya live!!!!

U simply delay the results of the presidential elections while cooking them.

This is an assault to Democracy.
 

Matokeo kutoka mikoa ambayo SLAA ana nguvu sana na amezoa kura nyingi za Urais kama Dar, kanda ya ziwa, kaskazini na nyanda za juu kusini yamezuiliwa yasitoke. Hii inawapa CCM muda kucheza na matokeo kwenye mikoa hiyo muhimu yenye population ya zaidi ya 8 million people ili hatimaye kuja na matokeo ya mwisho yanayofanana na haya ya sasa hivi kutoka mikoa ya CCM na CUF yenye population ya watu kama 1 million tu.


Dawa ni Chadema kwenda Mahakamani na kudai kura zirudiwe kuhesabiwa hapo CCM kitakuwa ni kilio na kusagag meno na JK wake...........
 
Matokeo yaliyotolewa mpaka leo usiku na NEC ni kuwa Kikwete aongoza Urais, Lipumba wa CUF wa pili na Slaa wa tatu!
Acha uongo matokeo yaliyotangazwa na NEC hadi saa 11 jioni ni haya.
Peter Mziray: Kura 4275 = 1.45 %;
Jakaya Kikwete: 186 1877 = 64.2 %;
Dr. Slaa: 578 636 = 19.95 %
Prof. Lipumba: 238 259 = 8.22 %
Mutamwega: 5690 = 0.2 %
Fahmi: 3435 = 0.12 %
Zilizoharibika: 163 562 = 5.64 %

Matokeo ya kura za urais according to Mwananchi: Mwananchi Election Editions
 
Chadema fanyeni maandalizi ya kutosha "ku-dispute" matokeo na kupeleka kesi mahakamani mpaka kura zihesabiwe upya na haki itendeke. Haki lazima itendeke, nchi hii ni yetu sote.
 
Ndugu zangu watanzania, mwaka huu tusikubali kamwe kuongozwa na mtu ambaye siyo chaguo letu.

Ninawaomba sana tena sana viongozi wa CHADEMA mfanye uchambuzi wa kina wa taarifa nyingi mnazoletewa zinazohusiana na hila kubwa iliyofanywa na ccm na vyama uchwara ili waendelee kuongoza nchi hii kwa nguvu. Tukiogopa kumwaga damu hatutaweza kuikomboa nchi hii.

Wananchi tupo nyuma yenu hatuwezi kukubali kuporwa haki yetu.

Swali ni kuwa, baada ya hapa, Kikwete ataweza kuliongoza taifa hili kwa ufanisi? Tukumbuke ahadi kem kem alizotoa na vile vile tusisahau tabia ya ccm ya ufisadi. Nionavyo mimi ni kuwa Watanzania waliomchagua watajutia kitendo hicho cha kumchagua kwani maisha yao yatazidi kuwa magumu kuliko yalivyo sasa hivi.
 
Acha uongo matokeo yaliyotangazwa na NEC hadi saa 11 jioni ni haya.
Peter Mziray: Kura 4275 = 1.45 %;
Jakaya Kikwete: 186 1877 = 64.2 %;
Dr. Slaa: 578 636 = 19.95 %
Prof. Lipumba: 238 259 = 8.22 %
Mutamwega: 5690 = 0.2 %
Fahmi: 3435 = 0.12 %
Zilizoharibika: 163 562 = 5.64 %

Matokeo ya kura za urais according to Mwananchi: Mwananchi Election Editions

Luteni,

Heshima yako.

Nadhani ukisoma tena utaona hayo maneno sio ya Fareed bali ametoa kwenye source ya AFP.
Wewe nawe umetuletea source nyengine. Kwa hivyo ni source mbili na two differetn stories
but the fact is that Kikwete anaongoza na atashinda akitangazwa hapo ijumaa.

You are simply being prepared for the eventuality.
 
Ndo maana nadiriki kusema kuwa ccm mzuri ni yule aliyekufa. Lakini hawa ambao wako hai wote akili zao zinafanana, kuwa chama bora ni ccm hata kama alama za nyakati zinasema sivyo!!!
 
Chadema fanyeni maandalizi ya kutosha "ku-dispute" matokeo na kupeleka kesi mahakamani mpaka kura zihesabiwe upya na haki itendeke. Haki lazima itendeke, nchi hii ni yetu sote.

CCM inatawala mahakama (ndio waajiri wao) kwa hivyo huko ni giza tu!
 
Swali ni kuwa, baada ya hapa, Kikwete ataweza kuliongoza taifa hili kwa ufanisi? Tukumbuke ahadi kem kem alizotoa na vile vile tusisahau tabia ya ccm ya ufisadi. Nionavyo mimi ni kuwa Watanzania waliomchagua watajutia kitendo hicho cha kumchagua kwani maisha yao yatazidi kuwa magumu kuliko yalivyo sasa hivi.

Ahadi tena?...Hio sahau maana si nd'o anamaliza term yake huyo. Whether he delivers or not, I doubt
he cares. Maybe kama anataka kumuandalia Riz-1.
 
Dawa ni Chadema kwenda Mahakamani na kudai kura zirudiwe kuhesabiwa hapo CCM kitakuwa ni kilio na kusagag meno na JK wake...........

There is no way utashinda kesi against CCM mahakamani. Na kuhakikishia kesi itapelekwa kwa mwendo wa kinyonga na ukishtuka tayari ni 2015.
 
The theory behind the conspiracy makes sense to me. Hata hivyo mwisho wa siku ukweli utajulikana tu. This time hatudanganyiki!
 
Back
Top Bottom