Acha uongo matokeo yaliyotangazwa na NEC hadi saa 11 jioni ni haya.Peter Mziray: Kura 4275 = 1.45 %;
Jakaya Kikwete: 186 1877 = 64.2 %;
Dr. Slaa: 578 636 = 19.95 %
Prof. Lipumba: 238 259 = 8.22 %
Mutamwega: 5690 = 0.2 %
Fahmi: 3435 = 0.12 %
Zilizoharibika: 163 562 = 5.64 %
Usiumie sana, kwani kama wananchi tumetimiza wajibu wetu wa kupiga kura. Kumbuka yuko Mungu, amabye ndiyo mwanzo na mwisho wa kila jambo. Yeye ni Mungu wa haki. Na anasikia vilio vya watanzania, wazima kwa wagonjwa, wenye njaa na walioshiba, n.k. Hivyo kama ameridhia Kikwete awe rais, itakuwa hivyo ila kama hajaridhia it is just a matter of time. Kama unamwamini Mungu endelea kuomba na kuombea uchaguzi maana bado haujaisha.
Check hii jimbo la Tunduru Kaskazini
Kikwete amepata kura 22,261
Slaa amepata kura 1,965
Lipumba amepata kura 12,935
haitawezekana SLAA atakuwa wapili
source Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza
P.MZIRAY 50,675 J.KIKWETE 2469507 W.SLAA 736366 I.LIPUMBA 308597 H.RUNGWE 10120 M.MUHANYWA 6994 F.DOVUTWA 4321 KURA ZILIZOHARIBIKA 74,138