Elections 2010 SECRET PLOT REVEALED: Kikwete aongoza, Lipumba wa pili, Slaa wa tatu

Swali ni kuwa, baada ya hapa, Kikwete ataweza kuliongoza taifa hili kwa ufanisi? Tukumbuke ahadi kem kem alizotoa na vile vile tusisahau tabia ya ccm ya ufisadi. Nionavyo mimi ni kuwa Watanzania waliomchagua watajutia kitendo hicho cha kumchagua kwani maisha yao yatazidi kuwa magumu kuliko yalivyo sasa hivi.

Unafikiri Kikwete kuongoza kiufanisi ipo kwenye vocabulary zake. Na hivi anajua hana la kupoteza ni ufisadi kwa kwenda mbele.
 
Suluhisho la kudumu la uchaguzi huru TZ ni kuwa na KATIBA MPYA, TUME HURU YA UCHAGUZI ( wajumbe wasiteuliwa na Rais/wasio waajiriwa wa serikali, wasimamizi wakuu wasio waajiriwa serikalini), TAKUKURU huru (watendaji wasiowajibika kwa RAISI).

Bila hivyo uchakachuaji utaendelea kila chaguzi zinapofika.

NI kichekesho mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anateuliwa na RAISI halafu raisi huyohuyo naye ni mgombea unategemea nini hapo?

Kwa nchi za Afrika kama TZ na kwa mtindo huu basi chama tawala kitaendelea kutawala milele.

LA MUHIMU:
Kuanzia sasa TUDAI KATIBA MPYA, TUDAI TUME HURU YA UCHAGUZI, TUDAI TAKUKURU HURU.
 
Ivi hakuna mahakama za kimataifa kushughulikia kesi za uchaguzi bse huwezi peleka kesi kwa hawa majudge wateule wa jk ukashinda
 
Nazungumza hili jambo huku roho inaniuma sana ila nathubutu kusema if Kikwete wins i will be happy too. Nataka watanzania washikishwe adabu kwa miaka mingine mitano halafu tuwasikilizie.

Binafsi nisisikie mtu ananiambia maisha ni magumu, ntamtukana labda niwe nna uhakika kabisa ni mpinzani wa kweli
 


Dawa ni Chadema kwenda Mahakamani na kudai kura zirudiwe kuhesabiwa hapo CCM kitakuwa ni kilio na kusagag meno na JK wake...........

Mkuu uchaguzi wa Rais haupingwi mahakamani, Rais akisha tangazwa basi wala kurudia kuhesabu kura au calculation hamna ndiyo sheria yetu. Kwa hiyo kwa ambao hawataridhika wanatakiwa kusubiri uchaguzi unaofuata, ndivyo ilivyo
 
Nazungumza hili jambo huku roho inaniuma sana ila nathubutu kusema if Kikwete wins i will be happy too. Nataka watanzania washikishwe adabu kwa miaka mingine mitano halafu tuwasikilizie.

Binafsi nisisikie mtu ananiambia maisha ni magumu, ntamtukana labda niwe nna uhakika kabisa ni mpinzani wa kweli

Usiumie sana, kwani kama wananchi tumetimiza wajibu wetu wa kupiga kura. Kumbuka yuko Mungu, amabye ndiyo mwanzo na mwisho wa kila jambo. Yeye ni Mungu wa haki. Na anasikia vilio vya watanzania, wazima kwa wagonjwa, wenye njaa na walioshiba, n.k. Hivyo kama ameridhia Kikwete awe rais, itakuwa hivyo ila kama hajaridhia it is just a matter of time. Kama unamwamini Mungu endelea kuomba na kuombea uchaguzi maana bado haujaisha.
 
Come rain,come sun, mwanzo wa mwisho wa CCM umefika. Siku za mwizi ni arobaini
 
Wengine tulisha fahamu mapema sana kuwa panga pangua JK ni Rais, mshindi wa pili Lipumba na watatu Slaa. Nyie kama hamjui sababu ni bahati mbaya kwenu.
 
So frustating to see these thieves taking their time to announce the votes while they cook up their own numbers!! I definately agree with all tht are suggesting CHADEMA should plan about taking these ppl to court!!!

The only positive thing about all ths is no matter how many votes he steals, message has been delivered to him that Tanzanians are not dumb as he thought and we don't want him or his corrupt party anymore! Their time has expired!!
 
Wewe unayejiita Fareed huwachi yakhe kuleta hadithi za Alinacha!

Lipumba kwa sasa hivi yuko wa pili kwa sababu kura zote za Zanzibar zimeshahesabiwa na yeye kule amepata nyingi kuliko Slaa. Hiyo si ajabu.

Ungesubiri mpaka angalau majimbo ya bara yakafikia nusu ndiyo ukaleta hizo hadithi.
 
So sad....,tamko la dk. Slaa litakuwa na uzito wake katika kuweka muelekeo wa mambo.Hesabu ya kura zote zinajullikana kituo kwa kituo,then jimbo kwa jimbo,ni jambo rahisi tu la kujumulisha si Calculus.Slaa anayo ya kwake atayamwaga hadharani,tumpe muda kidogo.

kweli tz kuna amani ama sivyo wahusika wakuu wa uchakachuaji wangehama nchi kuhofia usalama wa maisha yao na familia zao.
 
Luteni,

Heshima yako.

Nadhani ukisoma tena utaona hayo maneno sio ya Fareed bali ametoa kwenye source ya AFP.
Wewe nawe umetuletea source nyengine. Kwa hivyo ni source mbili na two differetn stories
but the fact is that Kikwete anaongoza na atashinda akitangazwa hapo ijumaa.

You are simply being prepared for the eventuality.


Mwandishi John Kulekana aliyepeleka habari hizo kule AFP ni mwandishi wa Daily News. Kwa hiyo kadanganya kuwapelekea habari kwamba Slaa ni 'distant third".
 
Acha wahangaike kuchakachua wataaibika mwaka huu, Watu tumekaa na calculator zetu tunajumlisha matokeo tuliyoyachukua kutoka vituo vyote, kata na majimbo na tunalinganisha na yale wanayatangaza. wakijaribu kufanya lolote ni aibu yao
 
Chadema fanyeni maandalizi ya kutosha "ku-dispute" matokeo na kupeleka kesi mahakamani mpaka kura zihesabiwe upya na haki itendeke. Haki lazima itendeke, nchi hii ni yetu sote.

The lawyers can advice CHADEMA whether it is possible to seek "Court Injuction" to restrain NEC from announcing the winner until all issues related to tallying are solved. As it is under the current election laws, akishatangazwa tu, hakuna wa kuyapinga! Kama kuna cha kufanya ni sasa, there is no later!
 
The lawyers can advice CHADEMA whether it is possible to seek "Court Injuction" to restrain NEC from announcing the winner until all issues related to tallying are solved. As it is under the current election laws, akishatangazwa tu, hakuna wa kuyapinga! Kama kuna cha kufanya ni sasa, there is no later!

Waacheni tu wajidanganye....Ukiangalia matokeo yanayotangazwa sasa hivi kuna majimbo mengi sana ya Pwani na Z'bar ambako unakuta jimbo moja kulina wapiga kura 6,000. Sasa jimbo kama hilo ukiambiwa Lipumba kapata kura 4,000 sawa na 66%, halafu wanakuta wanatangaza jimbo kama Bukoba Vijijini ambako unakuta Slaa kapata kura 13,000 kwa mfano halafu zinakuwa ni sawa na asilimia say 12%.....! Kwa ujumla ya kura hapo Slaa anakuwa ana kura nyingi zaidi kuliko Lipumba.
 
Gosbertgoodluck said:
Tukiogopa kumwaga damu hatutaweza kuikomboa nchi hii.

Wananchi tupo nyuma yenu hatuwezi kukubali kuporwa haki yetu.
Unataka umwage damu ya nani?
Acha kauli za kichochezi wewe! damu yoyote ikimwagika haitakuwa damu ya CCM, CUF wala CHADEMA bali itakuwa imemwagika damu ya mtanzania.
Hatuyataki yaliyo tokea Rwanda na Burundi
 
Suluhisho la kudumu la uchaguzi huru TZ ni kuwa na KATIBA MPYA, TUME HURU YA UCHAGUZI ( wajumbe wasiteuliwa na Rais/wasio waajiriwa wa serikali, wasimamizi wakuu wasio waajiriwa serikalini), TAKUKURU huru (watendaji wasiowajibika kwa RAISI).
Bila hivyo uchakachuaji utaendelea kila chaguzi zinapofika.
NI kichekesho mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anateuliwa na RAISI halafu raisi huyohuyo naye ni mgombea unategemea nini hapo?
Kwa nchi za Afrika kama TZ na kwa mtindo huu basi chama tawala kitaendelea kutawala milele.

LA MUHIMU:
Kuanzia sasa TUDAI KATIBA MPYA, TUDAI TUME HURU YA UCHAGUZI, TUDAI TAKUKURU HURU.



Nimekuwa nikisema haya haya kwa rafiki leo kutwa nzima kuwa waDanganyika hatuwezi kutoka mpaka katiba ibadirike kwanza! vinginevyo ni Old bedtime stories!!:baby::baby:
 
Wengine tulisha fahamu mapema sana kuwa panga pangua JK ni Rais, mshindi wa pili Lipumba na watatu Slaa. Nyie kama hamjui sababu ni bahati mbaya kwenu.
kwa kuwa mlizungumza na kila mpiga kura wa tanzania na akawaambia kwamba atampigia kikwete.
Naogopa kutukana ila ninakuona kama juha vile. Mwambie mwalimu wako aache kuuza kashata ajitahidi kuendana na silabasi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom