kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
nyerere wao r.i.p
Poleni wakenya. Huyu jamaa alikua kiboko
Utakuwa na wazimu wewe labda kama umezaliwa amisha toka madarakani.Arap Moi moja Kati ya maraisi wenye hekima kuwahi kutokea
Hakika sisi ni wa mungu na kwake ni marejeo
Umewaza kama mimiKumbe huyu baba alikuwaga hai! Duh wa miaka mingi tangu mdogo namsikia
Sent using Jamii Forums mobile app
....Nimemkumbuka sana Dr. Robert OukoAkapumzike alipo wapumzisha wengine
Siasa za africa ndio zilivyo hata anayofanya Magu si unaonaUtakuwa na wazimu wewe labda kama umezaliwa amisha toka madarakani.
Alisemaje huyo Dr mkuu
Matiba too, a very slow torturous death.He also built Chambers for torturing opposition at nyayo house..apunzike.Muoshwa huoshwa,huyo mzee ameua sana watu kipindi cha utawala wake akiwemo robert ouko! But Mungu aiweke roho yake panapo stahili.
Unamtukana auArap Moi moja Kati ya maraisi wenye hekima kuwahi kutokea
Hakika sisi ni wa mungu na kwake ni marejeo
Sio kweli, Moi alioa na kupata watoto nafikiri wanne au watatu, vijana akiwemo Gideon Senator wa Baringo, Marehemu Jonathan na kijana mwingine pia.*Hatimae Arap Moi amekufa kweli baada ya kusingiziwa kufa Mara Kibao*
Pumzika kwa Amani Mzee. Ukumbuke hakuwahi kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Meaning running matatu is not easy?To run a government is not easy like running matatu; Daniel T Arap moi.
Sent using Jamii Forums mobile app
............So hakuwa na uzao mkuu?..*Hatimae Arap Moi amekufa kweli baada ya kusingiziwa kufa Mara Kibao*
Pumzika kwa Amani Mzee. Ukumbuke hakuwahi kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ampumzishe mahali pema mzee Moi,early 90's mwanzoni nakua nakumbuka kuzisikiliza sana hotuba zake kupitia KBC hii ilitokana na sehemu nilipokuwa kwa wakati ule masafa ya radio za nyumbani Tanzania kutokusikika vyema.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk