Rais wa pili wa Kenya mzee Daniel Arap Moi amefariki dunia.Rais Moi ambaye kabla alikuwa makamu wa Rais wa baba wa Rais wa sasa Jomo Kenyata alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.