SCREENING COMMITTEE:Chimbuvu & Madame B

Chimbuvu

JF-Expert Member
Jul 17, 2012
4,401
2,333
KWENDA KWA;SCREENING COMMITTEE The Boss Mamndenyi Ruhazwe JR
COPY;mwenyekiti wa kuratibu mahusiano na ndoa chitchat 2012 Baba V
COPY:mad:Arushaone Mamzalendo
COPY:mad:judgement BADILI TABIA


yah:kurasilimisha mahusiano baina ya Madame B NA Chimbuvu

rejea kichwa cha habari,nimepokea barua toka kwa mwenyekiti kwa masikitiko makubwa inayonihitaji kuvunja mahusiano kwa ghafla.najua ana lengo zuri na mahususi katika kuendeleza mwenendo na tabia njema katika chitchat,nampongeza kwa hilo Baba V.
KWA KWELI NIMEAMUA KULETA TAARIFA RASMI katika kamati ya screening kuhusiana na mahusiano niliyonayo na Madame B,KABLA YA KUCHUKUA HATUA ZAIDI.Naomba tume ikae kwa ajili ya kupitia ombi let mimi na Madame B.
na kama kuna mtu mwenye pingamizi tafadhali siku ya kunitangaza ndio anatakiwa kujitokeza na kutoa pingamizi mbele ya kamati na mbele ya sisi wahusika kwa pamoja yaani Chimbuvu na Madame B.
Kwa kweli naomba kamati ipitie ombi langu kwa umakini mkubwa kabla ya kuchukua maamuzi ambayo badala ya kujenga yataumiza wengi na pia kabla tume haijachukua hatua yeyote tukae chini wote tulizungumzie na kama kutakuwa na mwenye pingamizi awepo naye siku ya tukio asante.
je ni nani kati yenu ambaye hajawahi kutenda kosa?basi na awe wa kwanza kurusha jiwe kwa Chimbuvu & Madame B
ASANTE
Chimbuvu & Madame B
 
Last edited by a moderator:
Kumbe unajua umetenda kosa ehh!!! Subiria sheria ichukue mkondo wake kwani waalifu wote lazima waadhibiwe..
 
Katika maneno yoote ndio umeona hilo tu?dah we ni wa kurushia vitu vyenye ncha kali tu

Kumbe unajua umetenda kosa ehh!!! Subiria sheria ichukue mkondo wake kwani waalifu wote lazima waadhibiwe..
 
mie ngoja nijifiche huku uvunguni, mkimaliza timbwili lenu niiteni kuja kukifinya kipunga maana sherehe lazima ituhuuu!!
 
mie ngoja nijifiche huku uvunguni, mkimaliza timbwili lenu niiteni kuja kukifinya kipunga maana sherehe lazima ituhuuu!!

Mkuu umesoma wajibu wako kwenye post ya TAMKO!?? bado dakika nane tu
 
Baba V a.k.a Pilato wa ndoa za watu... Wafanyieni mambo fasta mbona mnawabania sanaaa hao wapendwa?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom