Screen Protector za simu zinachosha

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,542
3,502
Wakuu,

Nimechoka kununua protector za simu.

Ndani ya miezi miwili nimebadilisha protector kama mara tano.

Protector za siku hizi wanauza mpaka tsh 2000, ukiweka kwenye simu halichukui muda linaanza kubongonyoka lenyewe kuanzia pembeni au kwenye ncha mpaka linachukiza kuendela kukaa kwenye simu.

Sasa natumia simu bila screen protector.

Je, ni wapi nitapata protector original kabisa?

Je, uimara wa kioo chenye protection ya Corning Gorilla Glass 5 ukoje? Naweza itumia bila protector na kioo kisipate madhara ya hapa na pale?

IMG_20210510_095243.jpg
 
Labda zileeeee zinazofungwa kwa mtambo kutoka ^Ujeremani!??? :) Protector ya nn lakini!??? Ukivunja kioo utanunua nyingine. Unataka zile spea countless kutoka China & Vietnamu ziende wapi?
 
Achana na haya makitu
Kioo changu kilipasuka kipindi nina hayo makitu. Tangu nimetoa sijaona tena mpasuko.
Tena usilogwe na wale jamaa wa likwidi purotekta....ni balaa
Kweli mkuu, naona protector ni upigaji tu ila hamna kitu.
Wife alidondosha simu juzi, ajabu kioo kilipasuka pasuka chote lakin protector haikupata hata crack moja.
 
Wakuu,

Nimechoka kununua protector za simu.

Ndani ya miezi miwili nimebadilisha protector kama mara tano.

Protector za siku hizi wanauza mpaka tsh 2000, ukiweka kwenye simu halichukui muda linaanza kubongonyoka lenyewe kuanzia pembeni au kwenye ncha mpaka linachukiza kuendela kukaa kwenye simu.

Sasa natumia simu bila screen protector.

Je, ni wapi nitapata protector original kabisa?

Je, uimara wa kioo chenye protection ya Corning Gorilla Glass 5 ukoje? Naweza itumia bila protector na kioo kisipate madhara ya hapa na pale?

View attachment 1779532
Wale wasanii wa LiQUID siku hizi wameyeyuka🙄
 
Unaweza kutumia simu yenye kioo cha Corning Gorilla Glass 5 bila kutumia protector na simu yako ikawa salama lakini changamoto iliyopo ni kwamba simu yako ni fake.Simu yako ni fake kwa sababu ukinunua simu Tanzania uwezekano wa kupata simu original ni asilimia 1 tu!
 
Wakuu,

Nimechoka kununua protector za simu.

Ndani ya miezi miwili nimebadilisha protector kama mara tano.

Protector za siku hizi wanauza mpaka tsh 2000, ukiweka kwenye simu halichukui muda linaanza kubongonyoka lenyewe kuanzia pembeni au kwenye ncha mpaka linachukiza kuendela kukaa kwenye simu.

Sasa natumia simu bila screen protector.

Je, ni wapi nitapata protector original kabisa?

Je, uimara wa kioo chenye protection ya Corning Gorilla Glass 5 ukoje? Naweza itumia bila protector na kioo kisipate madhara ya hapa na pale?

View attachment 1779532
Mazingira ya vumbi ni lazima kitapata scratch in long term.

Jaribu zile full zenye bezel juu na chini.

Ama kama Una access agizishia nje site za uhakika.
 
Unaweza kutumia simu yenye kioo cha Corning Gorilla Glass 5 bila kutumia protector na simu yako ikawa salama lakini changamoto iliyopo ni kwamba simu yako ni fake.Simu yako ni fake kwa sababu ukinunua simu Tanzania uwezekano wa kupata simu original ni asilimia 1 tu!
Hahahhaaa mzee mbona maneno ya kukatishana tamaa! Kwahiyo natumia simu feki??
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom