Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,603
- 26,879
Mkuu hii comment imenifanya nitie neno. Simu yangu sijawahi kuiwekea protector, na nilikuwa mzee wa kutamba kama muanzisha uzi ila leo nikiwa nimeishika simu yangu mkononi, yani sijui ingekuwaje tu nashangaa ngoma iko chini kwenye tiles, kibaya zaidi imejifunika yani ninavyoandika hapa simu yangu nimeichukia kabisa☹️.Kuna siku isio na jina wala saa UTAJUA HUJUI