Achana nao angalia station zingine.Ni kitu kimenifanya nipunguze kuangalia maana picha huzipati clear kama unavyotegemea.
Inakua kama ANALOG bhana
Waache wanapunguza views ngoja tuone wasipozimaNi ujinga sana kudhan tutaendelea kukumbatia huu upuuzi
Inabidi ufunge safari sasa mpaka studio ukatoe malalamiko yako.Nimehama ila nashangaa kwa nn hawalifanyii kazi hili suala