Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,721
- 24,136
Maoni ya mwanachama
Je huyu scout atasajiri wazungu (kina Dejan) kutoka uholanzi au wachezaji wa hapa hapa Africa
...................................
Hivi Simba SC tuna akili kweli mtu alikuwa kiongozi wa mashabiki huko uholanzi leo kawa skauti ya usajili acha tuone kila msimu tunaanzaga hivi hivi mnatupumbaza mashabiki na ivi mshatufanya kama mashabiki wa UTOPOLO
Fikiria timu haina mtu wa kufatilia mechi au mpinzani anaecheza na SIMBA yuko vipi mzuri wapi na anamazaifu yapi ndo mnaajili mshabiki tafuteni watu husika skauti ndiyo ilitakiwa kuboresha lakini so kwa kumchukua mshabiki kisa tu anaishi uholanzi wana simba na msimu huu tunapigwa za uso labda Mungu tu atusaidie
NB: huyu ni sawa kubwa
Je huyu scout atasajiri wazungu (kina Dejan) kutoka uholanzi au wachezaji wa hapa hapa Africa
...................................
Hivi Simba SC tuna akili kweli mtu alikuwa kiongozi wa mashabiki huko uholanzi leo kawa skauti ya usajili acha tuone kila msimu tunaanzaga hivi hivi mnatupumbaza mashabiki na ivi mshatufanya kama mashabiki wa UTOPOLO
Fikiria timu haina mtu wa kufatilia mechi au mpinzani anaecheza na SIMBA yuko vipi mzuri wapi na anamazaifu yapi ndo mnaajili mshabiki tafuteni watu husika skauti ndiyo ilitakiwa kuboresha lakini so kwa kumchukua mshabiki kisa tu anaishi uholanzi wana simba na msimu huu tunapigwa za uso labda Mungu tu atusaidie
NB: huyu ni sawa kubwa