hivi naomba mnisaidie link yeyote ambayo naweza pata scholarship za masters (business, au ICT relating to business) maana napenda sana kusoma masters but financial am unstable
The important thing is to read and understand all the requirement to be selected/awarded a scholarship, then prepare all the necessary documents before applying.
Note: You should also remember that, there are many people who apply for the same scholarship kwa hiyo ujitahidi kuandaa documents zote vizuri na kwa kufuata vipengele vinavyotakiwa ili uweze kushindana na wengine vizuri.
Hakuna miujiza ila ni wewe tu unavyoweza kuwa mdadisi na mfuatiliaji wa taarifa sahihi kuhusu jambo lolote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.