Aggrey86
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 853
- 155
Luiz Felipe Scolari ameteuliwa kushika mikoba ya kocha Mano Menezes aliyeachishwa kazi na chama cha soka cha Brazil, je Luis Felipe Scolari ataweza kuirudisha Brazil aliyokuwa nayo msimu wa 2001 hadi 2002 na kuchukua World cup Brazil ambayo kwa sasa haina Cafu,r.carlos,rivaldo,ronaldo,kaka,dida,emerson,gaucho ambao kwa namna moja au nyingine walimbeba sana Scolari...mi naona jamaa kusudi afanikiwe na kurudisha samba la brazil itabidi achukue wachezaji wengi toka ligi ya nyumbani na si hawa wanaocheza bara la ulaya ambao wameshazoea ligi ya ulaya na kusahau utamaduni wa kibrazil kwenye mpira,au wakuu mnamitazamo ipi?