mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,915
Hakuna teknolojia mpaka sasa inayoweza kuthibitisha kwa hakika kwa 100% kuwa kuna tetemeko litatokea. Ndiyo maana mara kibao hata wao yanawakuta bila kutarajia. Kitu wanachoweza kutabiri vizuri mara nyingi ni after shock