why?Don't trust chinese
kitu ambacho hukijui ni kwamba ukanda wote wa china na kisiwa cha japan huwa unashambuliwa sana na matetemeko ya ardhi.Mwanasayansi wa kichina si atakua feki...
Inawezekana
View attachment 743633
chanzo : shirika la habari la china maarufu kama china global television network(CGTN)
au upinzani ndo umeleta hilo tetemekoHalafu utawasikia bavicha wanasema hii ni mbinu ya Serikali kuzuia maandamano ya 2604.
Nakuunga Mkono, watu ambao wanafwatilia mambo juu juu huwa wanawabeza wachna...Kiteknolojia wapi juu sana...why?
coz they've beeen facing this monster for years now... and I am pretty sure that wapo vizuri kiteknolojia kwa upande wa matetemeko...
Bora Mimi sijajengaMaweee vibanda vyetu, hawaja sema mikoa gani litapita?
why?
coz they've beeen facing this monster for years now... and I am pretty sure that wapo vizuri kiteknolojia kwa upande wa matetemeko...
Usimshambulie Sana pengine next year Kwa kilugha chao ni April 26wee mjinga sana ujue... ushaambiwa next year halafu unaleta porojo zako la april 26.
hiyo tarehe inyeshe mvua liwake jua tutaandamana tu.