Profee Essoree
Member
- Sep 14, 2011
- 36
- 5
Hili swala la watanzania wengi kukimbia masomo ya science inamaanisha wengi hatujiwezi kuyamudu ni magumu sana au ni mfumo wa Mitaala yetu ya Tanzania ndiyo inasababisha!
Kwa hili kama mzalendo wa nchi unadhani nini kinasababisha wengi tuyakimbie!
Kwa hili kama mzalendo wa nchi unadhani nini kinasababisha wengi tuyakimbie!