School Room (Classroom)

Xuma

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
683
196
d7647633a5dfacdb503b5aa65e785e0a.jpg
 
Harafu wanatuambia hapa kazi tu kweli ndege ndio itakayo weza madirisha mandhali ya chumba hicho kuvutia watoto kusoma na kufaulu
 
tupo bize na flyover ya ubungo, tunafanya vitu vikubwa kubwa ambavyo vitatupa heshima miaka 100 mbele
 
Wadau wengi tumeendekeza "mihemko"
Tumejiuliza hii picha imepigwa lini?Miaka mitano iliyopita?mwaka jana?Juzi ama jana ama leo???
Imepigwa Kenya,Uganda,Somalia,Sudan ama Tanzania?
Baada ya kujua hayo kutoka kwa mto mada sasa tunaeza weka hoja zetu bila kuendekeza ushabiki

Sent using Jamii Forums mobile app

Fikiria kama ilivyo.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom