kbmk
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 776
- 158
- Thread starter
- #21
SWALI 03: Je matokeo yana wekwa na mwalimu wa somo mwenyewe au na mtu maalu aliye chaguliwa kwa kazi hiyo ?
JIBU: Ili kuongeza ufanisi mfumo una ruhusu mwalimu wa somo kuweka matokeo yeye mwenyewe. Lakini pia kama kuna mtu maalumu amechaguliwa kufanya kazi hii ni sawa anaweza kuweka matokeo ya masomo yote
JIBU: Ili kuongeza ufanisi mfumo una ruhusu mwalimu wa somo kuweka matokeo yeye mwenyewe. Lakini pia kama kuna mtu maalumu amechaguliwa kufanya kazi hii ni sawa anaweza kuweka matokeo ya masomo yote