Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Jiangxi University offers MBBS 5.5-year programme in Medicine. Course is designed to equip students with a fundamental knowledge & understanding of medical sciences and to polish the skills and attitudes which medical professionals need in their whole career as medical doctor.Jiangxi University therefore places considerable emphasis on developing your expertise in a whole range of practical areas, including clinical, communication, observation, teamwork and management skills.

1. Bachelor of Medicine, Bachelor of Surgery (English Medium MBBS)

Tuition Fee: 3500$ +accomodation (per year)

Duration:5.5 Years

Kwa maelezo zaidi ‭‭+255 766 369 464‬‬

Admisssion zishafunguliwa

Pia kuna foundation courses kwa form 4 na form 6 wasio na sifa za kujiunga chuo kikuu

Karibuni
Ungeweka link ya hicho chuo na hiyo scholarship ingekua poa mkuu.
 
Habari za majukumu.
Ndugu yangu amejitahidi kadri ya uwezo wake kutafuta Scholarship ya Mass Communication and Journalism kwa level ya Phd nje ya nchi, kama Kuna mtu atakayeweza kufanikisha hitaji lake basi njoo PM tuyaongee.
 
vyuo mbona ni vingi tu? au anataka chuo gani hasa, na je ana vigezo stahiki?
 
Ndugu zangu naomba kufamishwa njinsi ya kupata scolarship nimesoma PCB but now nipo chuo hapa tanzania ila ndoto yangu nikusoma nje pia nilipangiwa facult nisiyopenda nina mwaka wa kwanza naingia wa 2 ko please ushuri wako ni nguzo isiyo dondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante ila nilikua nataka nijue vyuo kama kujilipia ninauwezo au vyuo vya nje vinacyoweza kunichukua kulingana na ufaulu wang

Sent using Jamii Forums mobile app
Alama mbovu sana hizo.

Huwezi kupata ufadhili.

Ila kama wazee wako wanajiweza waambie wawatafute hawa jamaa wanaitwa Global Education Link au kuna wengine wanaitwa University Abroad Link (UAL)

Kuna mpwa wangu alifanikiwa kupata chuo kizuri nchini China kupitia hawa UAL,kuna jamaa anaitwa Tony Mtae yeye ndio anawaunganisha na vyuo vya nje ila kwa bahati mbaya namba yake kwa sasa sina .

Ila kwa kukusaidia nenda IG ukamtafute akutatulie shida yako.

Anatumia jina hilohilo Tony_mtae.
 
Cc :Jamii Forums

Njoo uunganishe Uzi

Kijana anarudia rudia kila mara uzi huo huo mmoja licha ya kupewa majibu stahiki.
 
Alama mbovu sana hizo.

Huwezi kupata ufadhili.

Ila kama wazee wako wanajiweza waambie wawatafute hawa jamaa wanaitwa Global Education Link au kuna wengine wanaitwa University Abroad Link (UAL)

Kuna mpwa wangu alifanikiwa kupata chuo kizuri nchini China kupitia hawa UAL,kuna jamaa anaitwa Tony Mtae yeye ndio anawaunganisha na vyuo vya nje ila kwa bahati mbaya namba yake kwa sasa sina .

Ila kwa kukusaidia nenda IG ukamtafute akutatulie shida yako.

Anatumia jina hilohilo Tony_mtae.
Huyo IG nitapataje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alama mbovu sana hizo.

Huwezi kupata ufadhili.

Ila kama wazee wako wanajiweza waambie wawatafute hawa jamaa wanaitwa Global Education Link au kuna wengine wanaitwa University Abroad Link (UAL)

Kuna mpwa wangu alifanikiwa kupata chuo kizuri nchini China kupitia hawa UAL,kuna jamaa anaitwa Tony Mtae yeye ndio anawaunganisha na vyuo vya nje ila kwa bahati mbaya namba yake kwa sasa sina .

Ila kwa kukusaidia nenda IG ukamtafute akutatulie shida yako.

Anatumia jina hilohilo Tony_mtae.
Tony mtae nitampata wap


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom