mamitod
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 914
- 382
Ahsante kwa ushauri mkuu. Kijana anasoma pale UCLAS anafanya BSc in Building Economics. Mwana wakati unaomba kitu sidhani kama una uchaguzi bali kupokea kinachopatikana. Nchi ni ile itayokuwa na offer nzuri zaidi preferably Scandinavian countries, Germany, USA and like.