Scania buses na Cummins buses ( Zhoungtong climber, yutong ect)

KingPower

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
1,098
1,745
Dhumuni la hii mada ni baadhi ya upotoshaji au chumvi zinazowekwa na wanazi wa haya mabus kila mtu akivutia upande wake!

Ni ukweli usiopingika kwa ishu ya durability scania yupo vizur zaidi

Ila kuna baadhi ya vitu nahisi ni upotoshaji wa watu mfano Climber yenye top speed 140 km/hrs na scania yenye top speed 120km/hrs obviously Climber atakua mbele , number doesn't lies

Ingawa katika kesi ya kuchanganya kwa engine by means of rpm scania atawahi ku attain maximum speed compaired na Dongfeng Cummins

360 hP Cummins vs 310hP scania apa pia ni pa kupaangalia ingawa configuration of power and weight of body ina matter lakini kwa still scania anaonekana kuwa Bora zaidi ila bado numbers aziongopi!

Pia uwezo wa dereva unachangia kwa gari koonekana Bora ukitaka kudhibitisha Angalia Newforce golden deer za tunduma zinavo zipa shida scania ( majinja Kilimanjaro Express ect)

Au ilivo kwa alseid ya mbeya Na Saul ya mbeya !

Nawasilisha

Lete fact zingine ambazo unahisi ni za kweli ila watu wanapotosha kwa mapenzi Yao binafsi
 
Wewe umewasilisha lakini haujawa kuziendesha ila mimi nimeziendesha sana kwa uzoefu ni kwamba Engine za Cummins zipo aina 3 za china ndio hewa ila ukipata zenyewe za marekani au Austalia ziko bomba sana Ila hizi za China ni hewa kabisa Golden Dear zina 360 Hp lakin bado 310Hp zinamtesa sana sabb kwnye Muinuko zinasinzia kabisa hata kama ununue leo then Kilimanjaro nyingi ni P270 yaan HP 270 lakini bado hizo Cummins zinapata tabu mno
 
Kwa mabasi ya China Zhong Tong anafanya vizuri sana sokoni Kulinganisha na Yutong, ila kwa china kubadilika ni jambo la kawaida sana ndaninya miezi 6 wanaweza kuja na model Mpya kabisa
 
Yeah ni kweli ila mwisho wa siku ni utunzaji tu check yutong f12 & f12+ za abood Bado mbichi kabisa
Kwa mabasi ya China Zhong Tong anafanya vizuri sana sokoni Kulinganisha na Yutong, ila kwa china kubadilika ni jambo la kawaida sana ndaninya miezi 6 wanaweza kuja na model Mpya kabisa
 
Pamoja mkuu! Ila izo scania zinatamba sna kitonga ila balaa huwa wanalipata
Wewe umewasilisha lakini haujawa kuziendesha ila mimi nimeziendesha sana kwa uzoefu ni kwamba Engine za Cummins zipo aina 3 za china ndio hewa ila ukipata zenyewe za marekani au Austalia ziko bomba sana Ila hizi za China ni hewa kabisa Golden Dear zina 360 Hp lakin bado 310Hp zinamtesa sana sabb kwnye Muinuko zinasinzia kabisa hata kama ununue leo then Kilimanjaro nyingi ni P270 yaan HP 270 lakini bado hizo Cummins zinapata tabu mno
 
360 hP Cummins vs 310hP scania apa pia ni pa kupaangalia ingawa configuration of power and weight of body ina matter lakini kwa still scania anaonekana kuwa Bora zaidi ila bado numbers aziongopi!
Hapo hp wala isikuumize kichwa. Unachotakiwa kujua kwenye haya magari makubwa ni kitu wanaita torque. Unaweza kuta engine ya Scania ina hp chache lakini ina torque kubwa kuliko Cummins. So in principle, japo Cummins ina 360hp, Scania ya 310hp itakuwa na uwezo mkubwa hasa kwenye miinuko kuliko Cummins.

Nimecheki specs za hizo engines, wanasema:-
Scania 310hp 1550Nm za torque
Cummins 360hp 1085Nm za torque.

So hapo Scania lazima tu atoboe kwenye miinuko au wakiwa na mzigo. Ila kwenye plains, cummins anaweza kunyooka zaidi.
 
Kuna Scania number A za Kilimanjaro ni mpya kuliko hizo za Abood number D.
Fuatilia kwanini Klm A inainekana kali kuliko Dar express C. Au abood
Kisha uje utupe mrejesho.
Klm wanajua wanachokifanya
 
Back
Top Bottom