Salunbote Lyevedu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 669
- 478
Ndo yeye anaitwa Mwanyilu ni jamaa wa makambako yuko vizuri ni hatari.. Kipindi cha nyuma alikuwa kwenye Happy nation ya Mbeya iliandikwa Sauti ya Manka... Ule moto ulikuwa balaa.. Kutoka Mbeya Ubt anaingia saa 10 jioniDereva atakua yule jamaa alikua kwenye newforce,tall hivi black