Mtanzania Huru
Member
- Apr 20, 2011
- 28
- 27
Mashirika kadhaa ya misaada kwa jamii yametoa tahadhari ya kuwepo kwa dharura ya upungufu mkubwa wa chakula Tanzani na kusema zaidi ya watu milioni 3 nchini wanakabiliwa na njaa.
Wakati mashirika hayo yanaomba msaada wa chakula kwa Tanzania, serikali imesema kuwa Tanzania ina ziada ya chakula.
Serikali hivi karibuni ilitoa msaada wa chakula kwa Somalia na kuanza kuuza mahindi kwa Kenya kutoka kwenye hifadhi kuu ya nchi ya chakula (SGR), kumbe Watanzania milioni 3 wanakabiliwa na njaa!
Source: TANZANIA files
Wakati mashirika hayo yanaomba msaada wa chakula kwa Tanzania, serikali imesema kuwa Tanzania ina ziada ya chakula.
Serikali hivi karibuni ilitoa msaada wa chakula kwa Somalia na kuanza kuuza mahindi kwa Kenya kutoka kwenye hifadhi kuu ya nchi ya chakula (SGR), kumbe Watanzania milioni 3 wanakabiliwa na njaa!
Source: TANZANIA files