Sayari Zuhura na Zohali mstari mmoja angani leo jioni

tutatumia nini kuangalia.......?.......au tutaona tu......
 
mkuu mimi nna kama siku tano hivi usiku nkiangalia magharib naona nyota kubwaa..kuliko nyingine tulizozoea.ina mng'ao mkali inapelekea ushindwe kuona umbo lake...mara ya kwanza nlijua ni ndege but haitembei.ni nini hiki?
 
mkuu mimi nna kama siku tano hivi usiku nkiangalia magharib naona nyota kubwaa..kuliko nyingine tulizozoea.ina mng'ao mkali inapelekea ushindwe kuona umbo lake...mara ya kwanza nlijua ni ndege but haitembei.ni nini hiki?


Hahahaaaaa, siyo pekeyako mkuu hata majuu nako walipata kudhani vivyohivyo (A sleepy Air Canada pilot ACb.TO first mistook the planet Venus for an aircraft, and then sent his airliner diving toward the Atlantic to prevent an imaginary collision with another plane, an official report said on Monday.) SOMA HAPA
 
Kuna mandhari nzuri ya mpangilo wa sayari za Zuhura na Zohali zitaonekana angani leo upande wa magharibi kuanzia saa moja jioni.

Hali hii inaendelea kuonekana leo, kesho hadi kesho kutwa Jumamosi kila siku saa moja jioni hadi saa mbili na nusu.

Nimeambatisha picha mandhari itakavyoonekana jioni.
Sayari Zuhura Zohali Mstari Mmoja Angani - Astronomy in Tanzania

Ndugu Mtaalamu ningependa kufahamu zaidi:
  1. Majina yake mengine (Kiingereza chake) ni yapi
  2. Je tutaendelea kuona nini baada ya hizo siku ulizotaja
  3. Je uelekeo wake ni upi, (nikimaanisha zilianza kuonekana zikitokea wapi na zitapotea kwa kuelekea wapi) Mashariki, Magharibi, Kusini au Kaskazini
 
Hiyo sayari ya Zohali ni ipi hiyo?naomba mwenye kuijua kwa kimombo aweke jina lake hapa!
 
Ukisha ona hizo nyota,taja kiwango chochote cha pesa unachohitaji mara nyingi uwezavyo kwa sauti kubwa,kesho yake utazipata hizo hela,unaweza kuzikuta kwenye akauti yako,chumbani unapolala, kwenye droo za ofisini n.k.!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom