sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Kuna chombo cha exploration kinaitwa Kepler pia kimeshagundua maelfu ya sayari na nyota (kama jua) mpya huko kwenye anga za mbali.. Skuiz hadi kwenye ma tv humo kama mfatiliaji wa vipindi vya nat geo au discovery science channels wanaonyesha sana tu.. Ukigoogle tu exoplanets utakutana na nini wenzetu wanafanya wakati sisi tunahangaika na siasa..