Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,371
- 3,146
Toka corona ianze, tumeshuhudia vibweka vingi vya makanjanja wanaojiita wanasayansi.
Ni mwendo wa kudungwa michanjo na hautakiwi kuuliza — Ukiuliza unaambiwa nyamaza, ati haujui sayansi!
Unabugia tu machanjo kimya kimya, hupaswi kuhoji wala kutilia shaka. Wanakupatia na kijikaratasi cha kusaini kabisa ili litakalokupata ubaki nalo mwenyewe.
Wenyewe wana kamsemo kao kanasema "tunafuata sayansi".
Hata wakichanganya vinyesi kwenye chanjo, wanakwambia hii ni "sayansi" usiulize ulize.
Kwa sasa sayansi zimegeuka kuwa kama upigaji wa ramli za waganga wa kienyeji.
Wala huwezi kuambiwa chanjo ina nini ndani.
Dungwa kalale. Usipodungwa ati unanyimwa mshahara.
Ni mwendo wa kudungwa michanjo na hautakiwi kuuliza — Ukiuliza unaambiwa nyamaza, ati haujui sayansi!
Unabugia tu machanjo kimya kimya, hupaswi kuhoji wala kutilia shaka. Wanakupatia na kijikaratasi cha kusaini kabisa ili litakalokupata ubaki nalo mwenyewe.
Wenyewe wana kamsemo kao kanasema "tunafuata sayansi".
Hata wakichanganya vinyesi kwenye chanjo, wanakwambia hii ni "sayansi" usiulize ulize.
Kwa sasa sayansi zimegeuka kuwa kama upigaji wa ramli za waganga wa kienyeji.
Wala huwezi kuambiwa chanjo ina nini ndani.
Dungwa kalale. Usipodungwa ati unanyimwa mshahara.