Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,143
- 34,180
Good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good
HahahaUmeeleza vzr san, shida ni kwamba, unayemtaka hakutaki, na usiyemtaka anakutaka,
simply:-
unayempenda kampenda mwingine,
uy mwingine nae kampenda mwingine
mwingine nae ana mwingine
mwingine nae kapendwa na mwingine
moyo sukuma damu si vingine
yanakuumiza na pengine
hauna budi kumpenda mwingine
Moyo sukuma damu, si mashine
yaani watu hawaridhiki, unaweza kumfanyia mema yooote hayo, akaja kukusaliti kwa jambo dogo, kumfanya mtu akupende si kazi ndog, itakulazimu upoteze muda wako na resources zako ili kumpagawisha na kumfanya awe fallen in lov,.lkn jichunge kuwa to every action, there's equal to opposite reaction, yaan jinsi unavyompagawisha mtoto wa watu, ujuwe hata wew taratbu utampenda na utashindwa kujizuia, ipo siku njama zako za kumteka zita expire na atakukimbia mbele ya macho yako, ndpo utakapojua hujui, yaan uljitia kitanzini kwa mikono yako mwenyewe ...UTAACHWA, maana mapenzi hayana kanuni na yana limitations ya muda...
cha msingi ukiwa ktk mapenz, play your only responsibility bila kujiumiza wala kumuumiza, nd then akizngua, move on, ..USILAZIMISHE
View attachment 1969730
Hatari sana yaani hii umeeleza kitaalamu.Umeeleza vzr san, shida ni kwamba, unayemtaka hakutaki, na usiyemtaka anakutaka,
simply:-
unayempenda kampenda mwingine,
uy mwingine nae kampenda mwingine
mwingine nae ana mwingine
mwingine nae kapendwa na mwingine
moyo sukuma damu si vingine
yanakuumiza na pengine
hauna budi kumpenda mwingine
Moyo sukuma damu, si mashine
yaani watu hawaridhiki, unaweza kumfanyia mema yooote hayo, akaja kukusaliti kwa jambo dogo, kumfanya mtu akupende si kazi ndog, itakulazimu upoteze muda wako na resources zako ili kumpagawisha na kumfanya awe fallen in lov,.lkn jichunge kuwa to every action, there's equal to opposite reaction, yaan jinsi unavyompagawisha mtoto wa watu, ujuwe hata wew taratbu utampenda na utashindwa kujizuia, ipo siku njama zako za kumteka zita expire na atakukimbia mbele ya macho yako, ndpo utakapojua hujui, yaan uljitia kitanzini kwa mikono yako mwenyewe ...UTAACHWA, maana mapenzi hayana kanuni na yana limitations ya muda...
cha msingi ukiwa ktk mapenz, play your only responsibility bila kujiumiza wala kumuumiza, nd then akizngua, move on, ..USILAZIMISHE
View attachment 1969730