Sayansi: Utengenezaji wa kemikali ya kuchakata mawe au miamba kuwa kokoto

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,092
Habari Tanzania !

Napenda kuuliza wataalamu wetu wa sayansi na technology kuwa hakuna uwezekano wa kutengeneza kemikali mfanano wa maji au jamii ya kimiminika yenye uwezo wa kupasua miamba au mawe makubwa. Mfano unainyunyiza juu ya mwamba alafu mwamba unapasuka-pasuka na kutengeneza vipande vidogo vidogo vya mawe mfanano na kokoto.

Karibu.
 
Habari Tanzania !

Napenda kuuliza wataalamu wetu wa sayansi na technology kuwa hakuna uwezekano wa kutengeneza kemikali mfanano wa maji au jamii ya kimiminika yenye uwezo wa kupasua miamba au mawe makubwa. Mfano unainyunyiza juu ya mwamba alafu mwamba unapasuka-pasuka na kutengeneza vipande vidogo vidogo vya mawe mfanano na kokoto.

Karibu.
Kuna mashine kwa ajili ya kupasua kokoto saizi mbalimbali. Ukitumia chemical utapata unga wa miamba na siyo vipande vipande.
 
Kuna mashine kwa ajili ya kupasua kokoto saizi mbalimbali. Ukitumia chemical utapata unga wa miamba na siyo vipande vipande.
Nasikia pia kuna kalamu yenye kemikali ya kupasulia mawe ni kalamu gani hiyo? Na inapatikana wapi? Na kwa gharama gani? Msaada please
 
Back
Top Bottom